Mkuu wewe kijana wa lumumba mmezoea kula michango ya watu kupitia matatizo yao , mkuu Invisible simamia hii issue hata kwa kuweka namba ya mpesa lakini siyo huyu tapeli wa lumumbaHii thread tangu imewekwa naifuatilia. Naona wadau wametoa pole nyingi sana, nikiwemo mimi.
Lakini najiuliza hivi pole is the best we can do to a person who created JamiiForums anapopatwa na tatizo kubwa kama hili?
Guys, we can do more than empty words. Nilishashambuliwa earlier kwa kusema hivi ndio maana nimejaribu kukaa kimya may be mtu mwingine atasema lakini naona masaa yanazidi kwenda na zinamwagika pole za maneno tu.
Pole ni nzuri lakini mdau gari lake mmeliona hapo. Je, tunaweza kufanya pole ya vitendo, ambayo itamuwezesha kupata a car similar to that? Au angalau kumpunguzia burden ya kiuchumi kiasi fulani?
Naomba Invisible na wadau wengine mtoe mwongozo kwenye hili...
Acha kujikomba komba na kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia ajali za watu wewe gamba.
Acha kujikomba komba na kutafuta umaarufu wa kisiasa kupitia ajali za watu wewe gamba.
Mkuu wewe kijana wa lumumba mmezoea kula michango ya watu kupitia matatizo yao , mkuu Invisible simamia hii issue hata kwa kuweka namba ya mpesa lakini siyo huyu tapeli wa lumumba
Hii thread tangu imewekwa naifuatilia. Naona wadau wametoa pole nyingi sana, nikiwemo mimi.
Lakini najiuliza hivi pole is the best we can do to a person who created JamiiForums anapopatwa na tatizo kubwa kama hili?
Guys, we can do more than empty words. Nilishashambuliwa earlier kwa kusema hivi ndio maana nimejaribu kukaa kimya may be mtu mwingine atasema lakini naona masaa yanazidi kwenda na zinamwagika pole za maneno tu.
Pole ni nzuri lakini mdau gari lake mmeliona hapo. Je, tunaweza kufanya pole ya vitendo, ambayo itamuwezesha kupata a car similar to that? Au angalau kumpunguzia burden ya kiuchumi kiasi fulani?
Naomba Invisible na wadau wengine mtoe mwongozo kwenye hili...
Poleni sana Mkuu Maxence Melo ila to be fair hii habari ipelekwe jukwaa husika; hapa Jukwaa la Siasa sio mahali pake. Once again poleni sana.