Mawifi bwana...

Mawifi bwana...

Decision

Member
Joined
May 6, 2020
Posts
36
Reaction score
36
Huyu wifi sijui alikuwa na nia gani? Kama unavyojua katika kumfatilia mwanaume kuna siku dada ake kamtumia text mdogo ake mimi nisijue kama yeye maana mimi nilikuwa na no ya dada yake nyingine sio hiyo aliyoitumia kwa mdogo ake.

Nikaanza kumtext sweet micc u! I love u so much. Sasa dada ake no yangu anayo badaye nikaja kugundua ni wifi nikamwomba msamaha, nikajua yameisha. Mmh! asimpigie mdogo ake simu nini kumwambia mdogo wake akaanza kunisema, mmh hawa mawifi jamani!
 
Dah, spidi yote hii ulikuwa unakimbilia JF tu!.
Haya sasa umefika, tulia andika vizuri
 
Back
Top Bottom