mawazo yenu tafadhali

mawazo yenu tafadhali

dri ma

Senior Member
Joined
Aug 5, 2012
Posts
106
Reaction score
16
Nimedate mdada of my age (26), ni kama mwezi mmoja umepita toka aniambie kuwa ana mtoto mmoja. Kiukwel tunapendana sana na sitaki kumcheat wala kumpotezea muda wake. Napata mawazo ya kumwoa in future ila naomba kwa wajuzi wa mambo mnishauri kwa jinsi ilivyo naweza nikapata changamoto gani mbeleni kama nikimwoa
 
Changamoto zitakuwepo tu. Hazihusiani na yeye kuwa na mtoto, wala nyie kuwa na umri mmoja wa 26, wala kwa kuwa mmedate kwa muda huo, bali zitahusiana na tabia zenu wawili, na jinsi mtakavyokuwa tayari kupambana nazo...
 
Sababu mnapendana......mtoto haezi kua kikwazo kwenye mapenz yenu na future yenu kiujumla.....,,we muoe tu
 
Changamoto ni kawaida kwa kila maisha ya mwanadam yoyote yule anaepumua......so huyo mwanae haezi kua kikwazo kwenu
 
Kikubwa mnapendana! Lakini napata shida kidogo unauhakika gan kwamba nae anakupenda kiukweli na si changa la macho apate pa kutokea? Umjaribu kwanza kwa jambo lo2te gumu utagundua kitu? Kuishi na mtu hd kufa si mchezo kaka?
 
wakuu asanteni kwa ushauri wenu pia ningependa kupata japo experience yenu kidogo kwenye couples za design hii kama zinakuwa na mafanikio au vipi na kama kuna matatizo mostly yanakuwa yapi ili nijue naanza kuweka msingi gani wakuu
 
Kama mnapendana mwoe tu huwezi kuzikimbia changamoto kwenye maisha
 
Lengo sio kuzikimbia ila nahitaji kujipanga kwanza kabla sijaingia huko ndo mana napenda nijue baadhi ili nipambanue zilizo ndan na nje ya uwezo wangu wakuu. Nahitaji kufanya maamuzi sahihi nisije nikajilaumu badae
 
Utapata changamoto ya kuwa na mke unaelingana nae umri ila mwenye mwili uliozeeka kuliko wewe. Yaani ghafla kawa kama bibi yako
 
Utapata changamoto ya kuwa na mke unaelingana nae umri ila mwenye mwili uliozeeka kuliko wewe. Yaani ghafla kawa kama bibi yako

Changamoto ni pale utakapomkuta baba wa huyo mtoto sebuleni kwako akisalimiana na mtoto wake huku mkeo akimletea kinywaji.
 
changamoto lazma uzpate ukzngatia mwenzio ana mtt na baba mtt lazma atakuja kumtzma mwanae au mama mtt atakuwa anampeleka mtt akamsalimie baba yake. Ila ucjal nyuk kufia kwenye masega n jambo la kawaida.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom