OMUSILANGA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 384
- 227
Ndiyo wakuu, heshima kwenu..
Katika kutimilika kwa usemi usemao "MJINGA AKIJITAMBUA ,MWELEVU UPO MATATANI " hali si nzuri upande wa ccm katika kampeini zinazo endelea nchi nzima za uchaguzi mdogo wa Madiwani kata 29.
Zikiwa zimebakia takribani siku 10, jana mabalozi wanne wa ccm wamehamia cdm katika kata ya Msalato, Dodoma chini ya Kamanda Mawazo Alophonce,diwani wa zamani kata ya Sombetini, Arusha. Miongoni mwao ni ndugu Tano Chigoje, balozi ccm wa mtaa wa Chisewo.
Kwa mujibu wa tathimini ya uhalisia ni kuwa lazima ccm wakinywee kikombe hiki. Naomba kuwasilisha.
SOURCE: MAWAZO MWENYEWE.
Katika kutimilika kwa usemi usemao "MJINGA AKIJITAMBUA ,MWELEVU UPO MATATANI " hali si nzuri upande wa ccm katika kampeini zinazo endelea nchi nzima za uchaguzi mdogo wa Madiwani kata 29.
Zikiwa zimebakia takribani siku 10, jana mabalozi wanne wa ccm wamehamia cdm katika kata ya Msalato, Dodoma chini ya Kamanda Mawazo Alophonce,diwani wa zamani kata ya Sombetini, Arusha. Miongoni mwao ni ndugu Tano Chigoje, balozi ccm wa mtaa wa Chisewo.
Kwa mujibu wa tathimini ya uhalisia ni kuwa lazima ccm wakinywee kikombe hiki. Naomba kuwasilisha.
SOURCE: MAWAZO MWENYEWE.