Mawaziri wateule wasio na vyama

mutanim

JF-Expert Member
Apr 13, 2010
203
77
Inaleta faraja kwamba sasa nchi itaongozwa na wanataaluma bila kun'gan'gania wanachama wasio na uwezo.

I doubt kama Dr Mpango, Dr Ndalichako, Dr Ashantu Kijaji ni wanachama wa chama chochote.
 
huyo Dr Kijaji ni mbunge wa kondoa.

ni jambo zuri na hayo ndio mabadiliko Obama aliwaacha baadhi ya mawaziri wa Bush kwenye baraza lake.
 
Siasa ngumu sana kuna somo itabidi walipitie linaitwa Majungu management wamuulize muhongo
 
Ukisikiliza Dr Mpango kwenye thread ya Mpango katika ubora wake aligusia kutoamini kama watu wa CCM wanahabari na transfomational leadership; ukimsikiza vizuri utaunganisha jambo
 
Ashatu ni fisiem wa kondoa, uwezo wake ni questionable, kapata zali la mentali
 
Safi. Hata kama ni wanachama kindakindaki. Mambo ya kujaza mavilaza kwenye baraza la mawaziri kisa ni makada haina nafasi zama hizi. Hii ni serikali ya magufuli, sio ya CCM
 
Tuanzie hapa: Kabla hajagombea kuteuliwa kugombea urais kupitia CCM (2015), je, uliwahi kufikiri jaji mkuu mstaafu wa JMT,

Mheshimiwa Augustino Ramadhani alikuwa na kadi ya CCM?
 
Dr Mpango si mwanachama wa chama chochote japo miaka 3 nyuma alitaka kuchukua kadi ya ccm kwa ajili ya kwenda kugombea ubunge huko kwao kigoma but badae akasitisha kwa kudhani kwamba akiingia kwenye siasa taaluma yake ndio itakuwa imekwenda na maji na pia huyu ni mcha Mungu sana kama tujuavyo siasa zetu bila mambo ya sangoma mambo hayaendi hilo nalo lilikuwa kikwazo kwake.
 
Dr Mpango si mwanachama wa chama chochote japo miaka 3 nyuma alitaka kuchukua kadi ya ccm kwa ajili ya kwenda kugombea ubunge huko kwao kigoma but badae akasitisha kwa kudhani kwamba akiingia kwenye siasa taaluma yake ndio itakuwa imekwenda na maji na pia huyu ni mcha Mungu sana kama tujuavyo siasa zetu bila mambo ya sangoma mambo hayaendi hilo nalo lilikuwa kikwazo kwake.

Nauliza tu,hivi mbona huyu Mh.anafanana sana na Balozi Mussa Mpango wa DRC? Hawana udugu hawa au? Isijekuwa tunamkabidhi "mgeni" hazina yetu!!
 
huyo Dr Kijaji ni mbunge wa kondoa.

ni jambo zuri na hayo ndio mabadiliko Obama aliwaacha baadhi ya mawaziri wa Bush kwenye baraza lake.

Kama huna uelewa na siasa za kimataifa acha kuchangia upuuzi tangu lini mdemocrat akamchagua mrepublican kuwa waziri? Obama wa Democrat angemchukuaje waziri wa Bush?
 
Back
Top Bottom