Mawaziri watatu watajwa kashfa za ufisadi

Mawaziri watatu watajwa kashfa za ufisadi

Bado napata tabu kujua nini focus ya vyama tawala ni kuchangia kuleta maendeleo au ............................................................nanukuu...Kwani makaburi yaliyofukuliwa lazima yazikwe upyaa
 
NDEGE WANAOFANANA HURUKA PAMOJA. JPM HAWA NI WENZAKE NA YEYE ANAFANANA NAO. JPM ATUMBUI MAJIPU BALI ANA REVANGE TUU.
 
Mwakyembe, Lukuvi, Muhongo wahusishwa na kashfa za ufisadi.

Chanzo: NIPASHE
Muhongo hana jinsi zaidi ya kubwaga manyanga kabla ya kufurushwa
 
Hivi bado mengi anapambana na prof muhongo ila magu awez kubali ushenzi
Sio mengi pekee na mafisadi wa tanesco waliokua wanauza misumali kutoka nje kwa maefu ya usd na wauza mafuta hewa kwa tanesco ni genge hatari saana hili
 
Mengi anakuwa kama pweza anajipalilia mkaa mwenyewe.
 
Mengi anakuwa kama pweza anajipalilia mkaa mwenyewe.
mzee mwenzangu heri ya mwaka mpya. Nimekumiss Sana mtu mzima mwenzangu. Baada ya kuona kimnya kingi nilifikiri na wewe wamekutumbua lile jipu kubwa.
 
mzee mwenzangu heri ya mwaka mpya. Nimekumiss Sana mtu mzima mwenzangu. Baada ya kuona kimnya kingi nilifikiri na wewe wamekutumbua lile jipu kubwa.

Siku hizi nipo Kimataifa zaidi. Tanzania tumeshamweka mtumbua majipu mahiri, mhangaike nae.
 
Ni ujinga kukanusha kuwa Nipashe hawafanyi hivi kwa manufaa ya babu Mengi....acheni kujifanya hamnazo wanazi wa Ukawa.

Waandishi wanajua Mzee anapenda kusikia nini ndio maana wanakuja na heading za kuchafua wapinzani wake...angetajwa White hair wala wasingeandika...au wangetafuta heading nzuuuuri ya kupamba ambayo mzee akiiona atatabasamu.

Kama Mwakyembe na Lukuvu wamefafanua kwa nini heading haikuwa Lukuvi...sihusiki na tuhuma hizo.....au Mwakyembe afafanua ishu ya mabehewa n.k.

Haya bana wahariri...mtumikieni kafiri mpate mradi wenu.
 
Siku hizi nipo Kimataifa zaidi. Tanzania tumeshamweka mtumbua majipu mahiri, mhangaike nae.
jipu la Zanzibar liko kwenye mwili wa huyo mtumbuaji wenu sasa kashindwa kujitumbua jipu limekua kubwa kama kibiongo.
 
Unategemea Gazeti la MENGI litampenda Pro. muhongo ???
Eti Mhariri wa Nipashe aje na headingi kubwa front page SWEDEN WAPONGEZA MRADI WA REA....watakuta Mzee Mengi amezimia kwa mshtuko.
 
Every person is presumed innocent until proven guilty according to the law and unfortunately none of those Ministers have proven guilty. So there is not need for explanation for the things that no one will believe any explanation.
Nguvu ya hoja.
 
Back
Top Bottom