Gazet nipashe, heading mawazir 3 waingia kwenye kashifa,
Hiv unatarajia kabisa kwa akili ya nipashe inaweza kudika kizur juu ya hao iliyowataja?? Kwan jf members si inajulikana kuwa wana masilahi binafsi? Siku hizi naona mwananchi nao wameingia kwenye mkumbo huo,
Jana nlikuwa naangalia taarifa ya habar itv, wakati wanaliport bungeni habar ya kubenea kuongea dk2 nzima kwa kuwa anazungumzia escrow na zaidi kwa kuwa alikuwa anamtaja pr sos, ilipewa uzito, kimsingi hawa jamaa wa vyombo vya habar wanatumika kama dom,
Leo nasikiliza kipindi cha asb cha chenal10, olest na wenzie wametumia dk45 o more kuongelea swala la zanziba kwa upande mmoja bila kubalance story, napata taswira kuwa vyombo vyetu vya habar havina uhuru, ila vinaendeshwa kwa utashi wa mmiliki,
Niwape ushaur waandishi wa habar kabla hamjadai uhuru wa vyombo vya habari daini uhuru kwanza kwenye nyombo vyenu vya habar, ili muwe huru mtoke kwenye akili za kushikiwa, vinginevyo mtakuwa mnaupotosha uma...
Jipu pwaaaaaaaaaaaa