johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,140
Yamezuka mabishano kwenye kikao cha Baraza la Vita kufuatia mwenendo wa hali halisi ilivyo Gaza
Wajumbe hawapendi Vita ichukue muda mrefu Wanataka imalizwe haraka kwa namna yoyote ile
Netanyahu amefuta kikao na kila mrengo umesema unaenda kujadili kwenye vyama vyao
Source Al jazeera news
Wajumbe hawapendi Vita ichukue muda mrefu Wanataka imalizwe haraka kwa namna yoyote ile
Netanyahu amefuta kikao na kila mrengo umesema unaenda kujadili kwenye vyama vyao
Source Al jazeera news