johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,022
Waziri mkuu wa Israel mh Benjamin Netanyahu amelitaka Jeshi la nchi hiyo kupeleka Kwenye Cabinet Mpango wa Kusafisha Jiji la Rafah na kuwaondoa Wapalestina wote bila kuwadhuru
Hata hivyo balozi wa Palestine UN ametaka Israel idhibitiwe kabla ya kutimiza adhma hiyo ovu
Nao Umoja wa Mataifa ya Kiarabu ndani ya UN umesema unapambana bila kuchoka kuishawishi Israel isimamishe Vita
Source Al jazeera news
Hata hivyo balozi wa Palestine UN ametaka Israel idhibitiwe kabla ya kutimiza adhma hiyo ovu
Nao Umoja wa Mataifa ya Kiarabu ndani ya UN umesema unapambana bila kuchoka kuishawishi Israel isimamishe Vita
Source Al jazeera news