Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
waasi tu! au hii ndio kupima upepo
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Mtu gani huyi
waasi tu! au hii ndio kupima upepo
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
.........kwa hiyo wanataka waende chadema wakashirikiane nako pia? JK wakati wanafikiria kukuasi waasi wao kabla!!!!!! au wakaunde chama chao jela..... wasitugeuze watz mafala wakati wao wamevimbiwa.Kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watakaotoswa na JK kwa kupigwa chini watafanya uasi ktk chama...wanadai wako tayari kuanzisha vyama vipya..wengine wafikiria kujiunga CHADEMA.Wanadai wametolewa kafala wakati wameshirikiana na baadhi ya vigogo.
Kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watakaotoswa na JK kwa kupigwa chini watafanya uasi ktk chama...wanadai wako tayari kuanzisha vyama vipya..wengine wafikiria kujiunga CHADEMA.Wanadai wametolewa kafala wakati wameshirikiana na baadhi ya vigogo.
Hii kitu ya Arusha nn kuhusu Milya?
Kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watakaotoswa na JK kwa kupigwa chini watafanya uasi ktk chama...wanadai wako tayari kuanzisha vyama vipya..wengine wafikiria kujiunga CHADEMA.Wanadai wametolewa kafala wakati wameshirikiana na baadhi ya vigogo.
w
waanzishe chama chao wasije kuharibu nguvu ya chadema
hata hivo ubunge mtamu sio rahisi kuachia
nipo church now...ntarudi baadae....
Kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watakaotoswa na JK kwa kupigwa chini watafanya uasi ktk chama...wanadai wako tayari kuanzisha vyama vipya..wengine wafikiria kujiunga CHADEMA.Wanadai wametolewa kafala wakati wameshirikiana na baadhi ya vigogo.
Kama MAIGE Alivyokamatwa kwenye ile hotel na dola laki 6 na watu wa usalama ..si alijitetea kuwa ni Zao na mzee?no wonder
nipo church now...ntarudi baadae....
naomba msaada ndugu: (kwa yeyote atakayesoma) nifanye nini ili niweze kuanzisha thread katika jamii forum? shukrani kwa yeyote atakayetoa msaada. waweza kunisaidia kupitia adress yangu ya jamii forum, au mligojohnbosco@yahoo.com au face book: John Bosco Mligo.