opportunist2012
Member
- Feb 8, 2012
- 92
- 8
Kuna tetesi kuwa baadhi ya mawaziri watakaotoswa na JK kwa kupigwa chini watafanya uasi ktk chama...wanadai wako tayari kuanzisha vyama vipya..wengine wafikiria kujiunga CHADEMA.Wanadai wametolewa kafala wakati wameshirikiana na baadhi ya vigogo.