Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,950
- 711
halafu kama mnachunguza vizuri sio Ngeleja tu anaharibu hata wenzake waliotangulia! kama Chenge alishiriki kuwapora Wasukuma wenzake ardhi yenye rasilimali ya madini kuwapa wawekezaji kwa mikataba isiyo na manufaa akiwa kama Mwanasheria Mkuu! Pia akiwa kama Waziri wa Miundo Mbinu Chenge huyo huyo alishiriki pia kuiuza TRL kwa kampuni ya kilaghai ya Rites zaidi ya hapo akagonga Wasukuma wenzake na gari sasa hatujui kama alitumwa maana alilipa laki mbili kama faini akaachiliwa! cha ajabu zaidi akashinda Ubunge kwa kishindo! Mbali ya hayo ukiacha ndg zetu Wasukuma hata wenzetu Nshomile hawako nyuma kuna wakina Karamagi pia walileta TICTs na mikataba ya kifisadi ya kusaini hotelini ughaibuni! Ukiachilia mbali ukweli usiofichika kuwa wako kwenye sehemu nyeti sasa katika serikali hii ya Kikwete yaani Ukatibu Mkuu na Ukurugenzi, utendaji wao na elimu zao ni tofauti yaani elimu inawekwa pembeni inabaki kulamba makalio ya mafisadi na kushibisha matumbo!
Angalia type ya Silver Rweyemamu, na Mkandara hapo UD! Pia watu kama mama Mongela amekuwa Mbunge miaka nenda miaka rudi hamna cha maana alichofanya huko Ukerewe na mavyeo yoote aliyopata kuwa nayo! Mpaka najiuliza hawa watu na kuelimika kote, tatizo ni nini haswa? hawana uchungu na nchi hii? walio wasafi toka mitaa hiyo ni Dr Magufuli na Prof. Tibaijuka (ambaye yeye bado tunampima) tu! Jamani mnatuaibisha! wenzetu wa Kilimanjaro hawana shida kama sisi, isitoshe hata wakiiba huwakumbuka wapiga kura wao (mf. Mramba, pia kumbukeni Msuya, Mama Malecela, Dr Mathayo anasaidia sasa huko Upareni)! pia kumbukeni Mzee wa Kiraracha naskia alipelekaga barabara kwao alipokuwa waziri wa mambo ya ndani ukiachia mbali kuishikisha adabu polisi! Mbali na hayo hata watu wa Mbeya wanatuacha mbaali sana! angalia wakina Prof. Mwakyusa na wenzie walivyopigania mpaka uwanja wa Songwe unajengwa! hospitali ya Mbeya pia imeboreshwa na mambo chungu nzima ya maendeleo! Sie wa lake Victoria tumelogwa!
tatizo pia ni kwa sisi wananchi......we sukumas dont question
Kwani fisadi Ana Mkapa alikuwa Waziri? angalia kichwa cha habari cha hoja inayozungumziwa mkuu!Ha ha ha ha
Acheni zenu hizo zenu, mbona hamumutaji mama Anna, Mramba nk.
Ngoja niwaambie kitu, mtu aliye nafikira ya umimi, ya ukwetu hatufai ktk uongonzi wa nchi. Fanyeni uchunguzi kiongozi mwadilifu huwa hayaangalii maendeleo kwa miwani ya mbao.
Kwa hiyo Nyerere naye ? ulishafika musoma wewe? ktk waadilifu wasukuma ni wa moja wao. Mtu mwema ni vigumu kuendelea ila jambazi kwake ni rahisi kuendelea kwasababu THEY DON'T CARE.
mzee vijisenti na mapesa ni wanyatunzu,sio wasukuma!!!!!!!!
Mimi ni msukuma but sina hamu na hili kabila!
Kwanza tunapenda sana ngono,tupo radhi kukataa kumlipia Ada mdogo wako,but ukahonga malaya return tickets from dsm to mwanza to dsm!
Unamnunulia malaya harrier,hiace na daladala wakati mdogo wako yuko chuo Ada ya mwaka laki 9 pale Saut unakataa kumlipia??
Halafu mungu wa ajabu Sana, Najua hapa wataalam mnaelewa namaanisha nini
kuna mdada moja wa kili, yeye aliwahi niambia watu wa kili wanawapenda wasukuma kwa sababu ni wa pole na wanawafurahisha saana watu wa kili wakienda kuhesabiwa (christmas) enzi zile wasukuma walio oa huko watakwenda na maredio ya makubwa ku-impress wakwe na mashemeji, wakati kwao nyumba ni za udongo, na nime ona kwenye thread ya ppf bwana chenge alivyo msaidia shemeji kazi huko na kuna wengine pia walio wekeza huko. sasa kwa hali kama hiyo mnatarajia maendeleo kweli.
mmmh Mndali mmmh!Kama una maanisha Gideon Cheyo aliyekuwa waziri wa ardhi... Huyu si msukuma.
Ni mndali na alikuwa mbunge wa Ileje, Mbeya.
Na Dr Magufuli sio msukuma.
Ni Mnyambo wa Chato.
Hivi huwa najiuliza kwa nini mawaziri wasukuma wanakuwa waadilifu kwenye kazi zao
umesahau mkuu pia tuna sifa ya kunyanyapaa hata kuua maalbino pia!
Mimi ni msukuma but sina hamu na hili kabila!
Kwanza tunapenda sana ngono,tupo radhi kukataa kumlipia Ada mdogo wako,but ukahonga malaya return tickets from dsm to mwanza to dsm!
Unamnunulia malaya harrier,hiace na daladala wakati mdogo wako yuko chuo Ada ya mwaka laki 9 pale Saut unakataa kumlipia??
Halafu mungu wa ajabu Sana, Najua hapa wataalam mnaelewa namaanisha nini