GAMA LUGENDO
Senior Member
- Oct 19, 2010
- 131
- 13
Ngeleja yuko radhi kuilipa Dowans mabilioni ya pesa lakini hawezi kuleta maendeleo kwenye jimbo lake.Huo sio uadilifu ni mkanganyiko wa uelewa finyu na kutokuwa na moyo wa kuwatumikia wananchi waliomchagua.