zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Cha kushangaza na kusikitisha ni pale tunapotegemea vyama vya upinzani na mawaziri vivuli kuwa ma "watch dog" wanaposhindwa kufanya kazi zao ipasavyo.
Hakuna hata mmoja aliyeleta ripoti yoyote bungeni kabla ya ripoti ya Utoh.
Mawaziri vivuli mlikuwa mmelala? Au mlikuwa mmesusa kazi?
Hakuna hata mmoja aliyeleta ripoti yoyote bungeni kabla ya ripoti ya Utoh.
Mawaziri vivuli mlikuwa mmelala? Au mlikuwa mmesusa kazi?