kerubi afunikaye
JF-Expert Member
- May 20, 2013
- 1,183
- 1,061
Watanzania kuweni macho,msije mkawa mnafukuza malaika kwa kusikiliza malalamiko ya mashetani!Nuru na giza havichangamani hata siku moja.Mheshimiwa Chiza kama JK atawasikiliza hawa ni bora urudishe na kadi yao uende kinondoni ukachukue ya CHADEMA.Kule ndiko waliko malaika wenzio.Nepi namuuliza tu,hivi hayo unayozungumza majukwaani kuhusu Chiza ni ya kweli?Na kama ni kweli matatizo ya kilimo nchini chanzo ni Chiza au chama chenu na serikali yake?ni kweli Chiza ndio tatizo au umepata platform ya kuondoa mtu ambaye ni kikwazo kwa maslahi ya watu binafsi pale wizarani?Watanzania kuweni makini sana.Hiki chama hiki!Hiki chama hiki!hiki chama hiki!hii serikali hii!Mungu anajua.