..Mawaziri saba watoswa.....

Nape Ana Nifurahishaga Sana Namfananishaga Na Yule Alo Kuwa Akimpigia Kerere Mwalimu SERIKALIII YOTE YA TANZANIA IMO MFUKONI MWANGU!
 
Nape Bwana Porojo Nyiiingi Kaingia Mikoani Kakuta Sifuri!
 
Hapo juu kuna mahali Nape kasema wamekuta foleni mizani Tunduma,Nafikiri wamekosea sio mizani inayosababisha ni kule boda km 10 kutoka mzani wa Magufuri,Hawa TRA walikuwa wanaringa sana unawakuta wafanyakazi muda wa kazi wapoVALENTINE BAR wanakunywa pombe foleni inakaribia kwa PANONE,Wakitoka hapo saa tisa jioni hakuna kuvuka,Mwakyembe alipokuja akawasha moto kwann wao wa lale wkt bandarini hawalali?Wakasema tatizo si wao ni wenzao wa Zambia kwa hiyo wakaenda kuongea nao wakakubaliana tar 1dec wakaanza kufanyakazi masaa 24.Nlichotaka kukanusha kauli ya Nape kwamba kazi inafanyika baada ya wao kwenda,si kweli ilikuwa ishawekwa kwenye mipango.Kwani Nape na Kinana ni nani mpk Zambia Revenue Authority iwaogope?Hata wasingekuja Tunduma bado makubaliano yangetekelezwa tu kati ya TRA na ZRA kwani walisha kubaliana.Msijikweze nyie
 
Najua huyo jk hawez fanya uamuz wowote wa kuwaondoa hao mawaziri! Shit
 
Hivi mama Prof.Tibaijuka amefanya nini au ni waziri kwa ajiri ya kigamboni tu!
 
Samaki mmoja akioza, wote wameoza!Serikali nzima iwajibike na sio mawaziri wachahe tu.
 
Pole sana kama unafikiri kuna jipya! Kwani hao si wamepatikana baada ya kuvunjwa baraza la mawaziri! Kinacho takiwa kuvunjwa ni chama.
 

maamuzi magumu hufanywa na wanaume wa kweli tu!
 
Jenerali Twaha Ulimwengu kipindi akiwa Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM na Mbunge wa Taifa mwaka 1993 alisema hivi,
na nanukuu : 1) Kuna waroho wanaokitumia chama kwa manufaa yao.
2)Maadili ya TANU na CCM ya kupinga dhuluma lazima yalindwe.
3)Rushwa na uoza vitaangusha dola.
 
Filamu nyingine hii ya Magamba, Sterling: JK, Kamati Kuu ya CCM na Mawaziri saba, ngoja tusubiri tuone mwisho wake.
 
......ELIMU amteue James Mbatia maana naye aliteuliwa na J.K ... Teh teh teh teh
Magamba oyeeee
 
HABARI HIZI NI USANII NA WANACHEZEA KODI YANGU TU! WASHENZI HAWA WANANIKATA KODI KUBWA WAKATI KAZI WANAZOZIFANYA SIZIONI! Nakumbuka Bw. 1 jina nimelihifadhi, amewahi kulima mpunga pande za kasamwa geita akaajiri mtu shambani; kisha kaanza misele na safari zake bila kumkagua! Mara ya kwanza yule Mfanyakazi alichapa kazi vizuri lakini mara tu baada ya kusiha mbegu akawa hata yeye haendi shambani! Maji yalizidi mbegu zikaoza na zingine zikapelekwa na maji! Alipofika kuona mbegu/ shamba limeharibika aliamua kutimua mbio maana asingeweza lipa gharama ya hasara hiyo. Mwenye shamba wakati huo alikuwa Tabora akisubiri mavuno! Wakati ulipofikia akaja ili avune. Hakuamini! Maana hata ramani ya shamba hakuiona (Alikuta magugu tu) - MRADI KAMA NI WAKO MWENYEWE NDO MWENYE DHAMANA YA KUUSIMAMIA, SASA MKUU KAZIDI SAFARI ZA NJE! ATABADILI MPAKA BASI
 
CHADEMA na CCM wote ni wale wale kwani kila mmoja ana nia ya kutawala tu ndio maana mnatuletea uzi nyingi za kutugonganisha vichwa walala hoi. CCM tumekaa nanyi kwa miaka mingi alipoondoka mwenye chama chake kila mmoja akaanzabkukunja jamvi alilokalia mpaka sasa ni miaka 50. Najua chadema nao wakija watataka miaka 50 ili tuweze kuwatathimini na kuwalinganisha na CCM!!!!!!!!! Hapo mwananchi wa kawaida atakua na khali gani? au ndio mtakuja na uongi wa Kigoma kuwa sawa na Dubai? au ule wa mfuko wa saruji buku tano? CCM kweli mnaweza kujisafisha? au mnapenda Ma daktari wa falsafa kuendelea kufundishwa kazi na sisi div 5? je CHADEMA wote mpo safi au mtu akihoji tu mambo ya pesa na yeye anahojiwa? Maskini nchi yangu....
 
..

...Mods nisaidieni kurekebisha hapo juu !!

....hakuna kulala mpaka kieleweke!!!

maksibuku ng'wabhejasana.......

hata wangeachwa wote tu lakini mathayo davide mathayo ni zaidi ya kimeo ndani ya wizara ya mifugo
 
Hili gari lishakuwa bovu siku nyingi sana matengenezo yake yanahitaji gharama kubwa sana.
Wamiliki wa hilo gari hawana uwezo wa kubeba gharama.
 
Safi sana ccm, napendekeza Prof. Maji marefu apewe wizara ya elimu, Lusinde Viwanda, mch. Lwakatare Uvuvi, kapuya kilimo.

Umechemka ndugu,lala kidogo muda wa kazi bado na ukizingatia Korogwe hakuna foleni raha kweli kweli kwikwi kwiiii,Proph Maji Marefu hata la saba alimaliza kwa mbinde ni kama yule mbunge wa Njombe gani sijui anaitwa Deo Sanga(JAH PEOPLE)anasema anaelimu ya juu ya darasa la saba.CCM bana!fix nyingiiii.Kapuya alishachemsha hakuna nafasi ya uwaziri akacheze na wajukuu wa kike,huyu mch Lwakatare naye unene umemzidi hatutaki mawaziri wa kukaa ofisini akapambane na viongozi wa uvuvi tupate samaki wa maana.Sasa hivi huku Zambia hakuna kuvua samaki inakuaga kuanzia tar 1dec--28febr ukikutwa na samaki utaeleza vzr.Na wanamafanikio samaki anaetoka Kariba dam ni wa maana mdogo ni kilo 3!huwezi amini lkn ni kweli.Ukiwa Kashiba mtoni samaki unawona unasubiri wenyeji waje na ndoana akuuzie samaki mkubwa Tz namnuua hata 15000 kuku 4500--6000.Mrudishieni magufuri hiyo wizara tule bana
 
Naisi,veri gudi,wachunguzwe ikabainika madai ni ya kweli wawajibishe. CCM ndio mkombozi wa watanzania haina budi kuwasaidia watanzania. CCM IZI THE GAVAMENTI OF PIPO, FO THA PIPO ENDI BAI THA PIPO(Abraham Lincolin).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…