Mawaziri na Mwanasheria Mkuu wa Serikali waapishwa Ikulu, Dodoma

Kwahiyo Kalemani alirelax..... So Makamba is better...!??

Hiki ni kituko..
 
"Nitafoka kwa kalamu"
Nimependa alivyoongea,amesema nilikuwa na miezi sita ya kuwasoma na amegundua kuna viongozi walichukulia poa wakawa wanaongoza wanavyojua wao,si vizuri sisi wengine kuyajua hayo ila yeye ameyajua ndio sababu kawatoa hao,kwahiyo waliobaki sasa wajuwe kuwa ameshakuwa mzoefu,kalamu ndio itafanya kazi...
 
umenifurahisha kumtumbua huyo kima a.k.a Ndugulile ila umekosea kumuacha kima mwingine anaitwa Nchemba kudadeki huyo jamaa nina hasira naye sana

 
Hiyo wizara ya Habari ya Habari na teknolojia aweke mtu mbobezi kwenye teknolojia ya mawasiliano asituletee madaktari wapima mikojo na vinyesi hospital kama Ndugulile

Tumepiga kelele kuwa PayPal Tanzania iruhusiwe kama njia ya kupokea malipo ya biashara za mitandaoni waziri alikuwa haelewi hata PayPal ni kitu gani
 
Hotuba nzur ameongea point analeta matumain sasa watu walikuwa wanaelekea kumchukulia powa
 
Siyo Pay Pal tu, Sasa hivi nchi nyingi zinaweka Televisheni na Redio zake kwenye satellite (tv mux) moja ambayo mawimbi yake yanafikika na kupatikana kwa urahisi ndani ya nchi husika na hivyo kuondoa kero ya upatikanaji wa habari lakini gharama za kupata taarifa na habari. Sie bado tunategemea hizi tv za kulipia ambao kila siku wanapandisha gharama za vifurushi vyao.
 
Kwa hali hii Lisu na Chadema hawana chao tena.
Tunampongeza Mh Rais kwa hatua nyingi mbalimbali. Mh. Lissu na Mh Mbowe ni wapinzani, tena sio wakitoto na tunawahitaji sana kwa kazi hiyo. Tuache kuwabambikia kesi za ugaidi nk zinazochafua sura ya nchi kwa dunia na ndani ya nchi. Lakini wajibiwe kwa utendaji wenye tija, unaokidhi matakwa ya watawaliwa na hoja zenye mashiko. Watanzania sio wajinga kama alivyosema mwendazake mwenyewe na cheo ni dhamana ya muda mfupi. Mkiwanyima wapinzani makini kuongea, watazaliwa kina Hamza. Usifikiri hawa wafadhili (EU, USA, UK, Germany etc) wanaokuja mahakamani kusikiliza kesi ya Mbowe hawana kazi, au wamekuja kutembea: There will be serious consequences in the event that justice will not be seen observed and mark my words. Tusidanganyane kwamba ati sisi ni nchi huru kwa hiyo tuna uhuru hata wa kuoneana. Nonsensical. Kwa hiyo Mh Sangaya tunakuomba uisalimishe nchi yetu.
 
Kwahiyo Kalemani alirelax..... So Makamba is better...!??

Hiki ni kituko..
cheo ni dhamana, cheo sio mali ya Kalemani wala Makamba wale yeyote yule.
Mtanzania yeyote mwenye sifa hata wewe unaweza kuwa waziri ktk wizara yoyote ile.
Jambo la msingi ni kuwatumikia watanzania kwa moyo na bidii na kwa uzalendo
 
Wakachape kazi
 
Hama Nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…