Mawaziri Aisha Kigoda na Seif Khatibu watangaza penzi lao Bungeni

mimi sioni cha kupongeza nakushangaeni nyinyi mnopongeza zinaa sasa limekuwa sio bunge tena mambo ya mapenzi sijasikia mimi duniani mbunge kujisifia ngono lakini kama ujuavyo muhuni utamjua tu kumbe wale wabunge hufu kwa ngoma wakajitia kujisingizia maradhi ya moyo kwa hali hiyo nchi itafika na huo muungano naona utadum znz ntanganyika
 
Jamaa wameamua kudumisha MUUNGANO,kwa staili ya aina yake.Kwa staili hii utabiri wa sheikh Yahya unaweza kutimia.ONGERENI SANA.Msiishie hapo na ndoa mtutangazie tuje tutupe roho maana Tanga na Zanzibar,hapo si kurusha roho tena bali itakuwa kuitupa kabisa.

tuweke mambo sawa- hao wameoana na siyo wapenzi wa hivihivi..... Dr KASEMA "MUME WANGU MPENZI...INSHALLAH MUNGU ADUMISHE NDOA YETU".... haya mengine sijui ngono zembe na nini... tuache kuongeza chumvi!
Kuoana ni jambo jema.
 
... Dr KASEMA "MUME WANGU MPENZI...INSHALLAH MUNGU ADUMISHE NDOA YETU".... tuache kuongeza chumvi!

Katika hiyo "mume wangu mpenzi" ametaja jina la Khatib? Unayo nukuu nzima alipoongelea mapenzi?

Halafu "Inshallah Mungu adumishe..." ndio nini? Mawaziri wazima wanaongea Kiswaarabu hata haki make sense.
 
... Dr KASEMA "MUME WANGU MPENZI...INSHALLAH MUNGU ADUMISHE NDOA YETU".... tuache kuongeza chumvi!

Aliposema hiyo "mume wangu mpenzi" ametaja jina la Khatib? Unayo nukuu nzima alipoongelea mapenzi?

Halafu "Inshallah Mungu adumishe..." ndio nini? Mawaziri wazima wanaongea Kiswaarabu hata haki make sense.
 
Nitaomba samahani kama nitasababisha aina yoyote ile ya kutofurahiwa ,niliwahi kusikia kwa watu wa karibu sana na waziri Khatibu kuwa ni mtu ambae hapendi uhusiano wa kimapenzi na wanawake, wenye kuelewa habari hizi tuelezeni.
 
Aliposema hiyo "mume wangu mpenzi" ametaja jina la Khatib? Unayo nukuu nzima alipoongelea mapenzi?

Halafu "Inshallah Mungu adumishe..." ndio nini? Mawaziri wazima wanaongea Kiswaarabu hata haki make sense.

Naomba usome tena post yangu.... sijazungumzia mapenzi bali ndoa.. kama namna ya kusawazisha upotovu wa wanaosema kuwa hawa ni wapenzi...yes..i witnessed akisema..na alitaja majina ya Seif Khatib na kushangiliwa sana hadi kuna mbunge alisema " tunashukuru kututambulisha shemeji yetu"
 
Naomba usome tena post yangu.... sijazungumzia mapenzi bali ndoa.. kama namna ya kusawazisha upotovu wa wanaosema kuwa hawa ni wapenzi...yes..i witnessed akisema..na alitaja majina ya Seif Khatib na kushangiliwa sana hadi kuna mbunge alisema " tunashukuru kututambulisha shemeji yetu"

Ndio mapenzi hayo! Kwani wameoana kwa chuki? Huyo mama kataja bungeni "mpenzi this mpenzi that...," kaongelea mapenzi!

Nilitaka kujua kama ametaja Khatib, that's all I wanted to know, thanks. Maana ulisema watu wasitie chumvi halafu wewe ukachomoa neno Khatib katika nukuu uliyotuletea, yani ukaondoa chumvi kabisa! Sasa bana, kila kitu lazima kiwe na uwiano, huwezi kutupikia bila kiduchu cha chumvi kama hatujasema tunaumwa moyo. Usitake kuwasafisha hawa wana mapenzi wa bungeni.
 
Seif Khatib? Seif Khatib? ... Huyu mkuu ameoa kwa zile nafasi zake 4? 2010 ina mengi. Tujaliwe uzima
 
Ndio mapenzi hayo! Kwani wameoana kwa chuki? Huyo mama kataja bungeni "mpenzi this mpenzi that...," kaongelea mapenzi!

Nilitaka kujua kama ametaja Khatib, that's all I wanted to know, thanks. Maana ulisema watu wasitie chumvi halafu wewe ukachomoa neno Khatib katika nukuu uliyotuletea, yani ukaondoa chumvi kabisa! Sasa bana, kila kitu lazima kiwe na uwiano, huwezi kutupikia bila kiduchu cha chumvi kama hatujasema tunaumwa moyo. Usitake kuwasafisha hawa wana mapenzi wa bungeni.
Asante Ndugu.
Nadhani kupenda na kupendwa ni haki ya kila mtu including Wabunge. Kama hawa wamefikia kilele cha kupendana wakaamua kuoana.Sioni ubaya wowote.
Kuna kitu cha kusafisha hapo?
 
Kuleta mapenzi bungeni.

Kitu ambacho ulitaka kukificha, lakini sasa unasema wana haki hiyo. Duuuh!

Kwani tuna sheria Tanzania au mahali popote duniani inayowakataza Wabunge au wawakilishi wa wananchi katika nchi yoyote ile duniani kufall in love? Kuna ushahidi wowote wa hawa kuleta mapenzi bungeni?

Wabunge ni kama binadamu wengine hivyo wanastahili kutangaza misiba inayowahusu Wabunge wenzao ndani ya Bunge na hata ndoa za Waheshimiwa walioamua kufanya hivyo.

Yule Mbunge wa Chadema Wangwe aliyefariki kwa ajali akitokea Dodoma kwenda Dar msiba wake ulitangazwa bungeni na hakukuwa na ubaya wowote wa kufanya hivyo iweje kutangaza jambo la heri la kufunga pingu za maisha iwe ni tatizo? Basi itungwe sheria kupiga marufuku kutangaza mambo ya heri ndani ya Bunge au misiba inayowahusu Wabunge.
 
Kura za wabunge kutoka Tanganyika atazipata katika kinyanganyiro cha urais wa Zanzibar ,anajaribu kuwaonesha SMZ kuwa yeye yupo makini na mjanja kuliko wao.
 
Basi itungwe sheria kupiga marufuku kutangaza mambo ya heri ndani ya Bunge au misiba inayowahusu Wabunge.

Kwani ametangaza ndoa? Tumeambiwa ndoa tayari ipo, alikuwa anamshukuru tu mpenzi wake (mume wake).

Kama nukuu ya WoS ndio ya kweli basi aliyeleta mada hii kidogo aliipotosha (hasa heading: ....watangaza penzi lao bungeni").
 
Katika hiyo "mume wangu mpenzi" ametaja jina la Khatib? Unayo nukuu nzima alipoongelea mapenzi?

Halafu "Inshallah Mungu adumishe..." ndio nini? Mawaziri wazima wanaongea Kiswaarabu hata haki make sense.


mmmm hiki ndio kipi???
 
Kwani ametangaza ndoa? Tumeambiwa ndoa tayari ipo, alikuwa anamshukuru tu mpenzi wake (mume wake).

Kama nukuu ya WoS ndio ya kweli basi aliyeleta mada hii kidogo aliipotosha (hasa heading: ....watangaza penzi lao bungeni").


wana ndoa hawafai kutangaza penzi lao eh???
 
Kwani ametangaza ndoa? Tumeambiwa ndoa tayari ipo, alikuwa anamshukuru tu mpenzi wake (mume wake).

Kama nukuu ya WoS ndio ya kweli basi aliyeleta mada hii kidogo aliipotosha (hasa heading: ....watangaza penzi lao bungeni").



Heading inapotosha maana kabisa.Kuweka vichwa vya habari vya kizushi namna hii kunapelekea kuishushia hadhi JF. Huenda kweli hii ni news kwamba watu hawakujua kuwa Waheshimiwa hawa ni mke na mume.Mleta mada angeweza kuweka kichwa cha habari chenye kulenga dhana hii ya kujua/kutokujua.

Kilichotokea ni Mh.Dr Aysha kumshukuru mumewe Mh.Seif Khatib alongside shukrani kwa Mh.Waziri wa Afya Dr. Mwakyusa ( Kiongozi wake) Mh.Rais J.K. kwa kuendelea kumwamini katika wadhifa huo alio nao, wanawe etc etc.
Sasa mijadala inayoendelea hapa as a result ya huu upotoshaji, ndio hayo ya kuzusha kuwa ohh wameleta mapenzi bungeni, n.k.

BAK alichosema ni kuwa kwani kuna ubaya gani Dr Aysha kusema alichokisema ambacho ni cha heri? Kwamba alisema anaomba Mola ndoa yao idumu... ni kitu chema kukisema.Mbona misiba na maafa pia inatangazwa bungeni?
 
Back
Top Bottom