Msafiri Kasian
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,133
- 659
Kama wanamaanisha kweli wajiuzuru nyadhifa zao sasa na kujiunga CDM. kama wanasubiri vipindi vyao vya uongozi viishe watakuwa ni ma-optunist tu hawana kitu.
Umeona eeeh! Hawa jamaa ni wanafki,na hapa ndipo VIONGOZI WA CHADEMA wanapaswa kutafakari,kama JAMES MILYA alivyofanya,hawa nao wajiudhulu nyadhifa zao hapo CCM na watangaze nia zao kuhamia CHADEMA,bila hivyo,tutegemee kuja kuibiwa tena.