Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,781
Wadau,
Habari za humu ndani?
Ni maranyingine tena nimeona vyema nipate uzoefu wenu, ili nipunguze ujinga.
Huwa najiuliza swali hili ila sijawahi kupata majibu;
Hivi, Meli inayosafiri masafa marefu, kama kutoka afrika kwenda ulaya, huwa ina mawasiliano ya kule itokako na iendako?
Na kwa kuwa e mail hutumia net, simu hutumia net, wanatumia mawasiliano ya aina gani?
Naomba wajuvi wa mambo mnisaidie juu ya hili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za humu ndani?
Ni maranyingine tena nimeona vyema nipate uzoefu wenu, ili nipunguze ujinga.
Huwa najiuliza swali hili ila sijawahi kupata majibu;
Hivi, Meli inayosafiri masafa marefu, kama kutoka afrika kwenda ulaya, huwa ina mawasiliano ya kule itokako na iendako?
Na kwa kuwa e mail hutumia net, simu hutumia net, wanatumia mawasiliano ya aina gani?
Naomba wajuvi wa mambo mnisaidie juu ya hili.
Sent using Jamii Forums mobile app