Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

biashara anayo hapa nyumbani khs kumzalisha mtoto tulinaye anatosha maana tyr alinikuta nina mtoto so kwangu wawili wanatosha na yeye anaye huko kwao.
Kumbe mlioana wote single mom & single dady kubabaake [emoji23][emoji23] kila mmoja ana mtoto/watoto wa nje..
 
Nenda kwenye simu yake akiwa hajui, nenda kwenye izo namba uziedit bila kubadili jina alilosave Kisha zile original ziblock, hapo atakuwa na jina sahihi za hao watu wawili uliosema ila namba tofauti, na weka ss zako asizojua hapo atanza kuchati na ww bila kujua,anachati na ww km kawaida na utaanza na ww kuekti kutokana na anavyokuchatisha na kubaini mengi!
 
biashara anayo hapa nyumbani khs kumzalisha mtoto tulinaye anatosha maana tyr alinikuta nina mtoto so kwangu wawili wanatosha na yeye anaye huko kwao.
Tatizo limeanzia hapo yeye kuwa na mtoto pole sana.
 
Nenda kwenye simu yake akiwa hajui, nenda kwenye izo namba uziedit bila kubadili jina alilosave Kisha zile original ziblock, hapo atakuwa na jina sahihi za hao watu wawili uliosema ila namba tofauti, na weka ss zako asizojua hapo atanza kuchati na ww bila kujua,anachati na ww km kawaida na utaanza na ww kuekti kutokana na anavyokuchatisha na kubaini mengi!
hii akili kubwa hii....
 
hii akili kubwa hii....
Jaribu mkuu km umenielewa ujue mara nyingi tunavyo save namba za watu Kwa majina huwa hatuzingatii Tena namba we ukiona jina tu unaanza kutuma msg au kupiga, na uzuri kule utakuwa umeblock zao ndani ya siku 2 tu utabaini jambo!
 
Wakuu no reform no....
Mwanamke wngu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kbs, mi nyumban natoka asubuhi sn narudi usku kuanzia saa 4 usku mmoja nliamua kucheck cm ya huyu mwanamke nikakuta muda mwng anachat na huyo bwana mpk wanapeana ahad za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu n kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wp mara amuamshe hatari zaid sms zngne ni za usku muda ambao nakuwa sjarud home sjaamua kumuuliza hlo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kfcho sn akiwa hajui kwmb huwa naptia cm yake maana nlishamzoeza kwmb sgusagi cm yake,jana tu wkt nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
Set mazingira mazuri, mpeleke sehem ambayo mpo nyie tu, muonyeshe kuwa unajua kinacho endelea halaf mpe option, ni ww au aende anapotaka
 
na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
We zubaa aje aseme umemuambukiza wewe, wake za watu ndio zao hizo siku hizi hawaogopi hata kutumia simu nyakati za usiku na wanajua kufosi balaa.

Kuna muda ukijiuliza amezimika na nini hata uelewi maana hata pesa humpi na huna ila basi tu sijui huwa wana mapepo? Enewei mke wa mtu sumu
 
kifupi sku hz hata nikimkaushia kumto.mba hata wk wala hana shda tofauti na zaman mbaya zaid huwa narud usku home naweza mkuta anaangalia tamthiliya nikala nkaoga nikaenda lala takuja stuka alfajiri sjua kaja lala sangapi.
Umenikumbusha jamaa!ye wa kwake alikua akitoka huko kwenye kiduka chake saa nne usiku,akifika nyumbani anaanza kufua Hadi saa Saba au nane ndio anaenda kulala yaani Ili jamaa ale kwanza yeye!e,jamaa akashtuka akaanza kufuatilia lakini hakuona kitu,akaamua kuacha,walimwengu wakamwambia Kuna kibosile mmoja anachukua na dogo mmoja pia,hakuamini !alikuja kuamini baada ya miaka miwili coz alikuja kushtuka tayari mambo yameshaharibika na hamna namna!!!

Jamaa akaamua Aishi vile akili yake inaona inafaa Hadi leo!!!
 
We boya ndio maana unagongewa. Umejiunga JF 2013 it means kwa makadirio una umri zaidi ya miaka 30 lakini unaandika kama mdogo wangu wa miaka 11. Koma kabisa.
boya au siyo..ulitaka niandkeje kama ambavyo huwa anaandka mama yako au vp.
 
Wakuu no reform no....

Mwanamke wangu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kabisi, mi nyumban natoka asubuhi sina narudi usku kuanzia saa 4 usku

Mmoja nliamua kucheck simu ya huyu mwanamke nikakuta muda mwang anachat na huyo bwana mpaka wanapeana ahadi za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu ni kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wapi mara amuamshe hatari zaidi sms zingne ni za usiku muda ambao nakuwa sijarud home sjaamua kumuuliza hilo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kificho sina akiwa hajui kwamba huwa naptia simu yake maana nlishamzoeza kwamba sigusagi simu yake,jana tu wakati nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
Mkuu taka taka HIYO 🚮🚮🚮
 
We boya ndio maana unagongewa. Umejiunga JF 2013 it means kwa makadirio una umri zaidi ya miaka 30 lakini unaandika kama mdogo wangu wa miaka 11. Koma kabisa.
Acha ujinga WEWE kila post unatukana tu, ujifunze kukaa kimya kama hayakuhusu kenge WEWE
 
mkuu umeelewa nlichoandka hapo? Huku tulipo mwanamke wng hana ndugu yeyote kbs, we huyo ni ndugu yako mlikuwa mnataniana. Swali kuna utan wa kuchat na mke wa mtu usku tena mwanaume asiye na udugu na mkeo wanachat usku.
Wewe huwa huchart na wanawake mkuu??
 
Wakuu no reform no....

Mwanamke wangu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kabisi, mi nyumban natoka asubuhi sina narudi usku kuanzia saa 4 usku

Mmoja nliamua kucheck simu ya huyu mwanamke nikakuta muda mwang anachat na huyo bwana mpaka wanapeana ahadi za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu ni kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wapi mara amuamshe hatari zaidi sms zingne ni za usiku muda ambao nakuwa sijarud home sjaamua kumuuliza hilo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kificho sina akiwa hajui kwamba huwa naptia simu yake maana nlishamzoeza kwamba sigusagi simu yake,jana tu wakati nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
Wake up bro unatombewa
 
biashara gn mkuu we unaijua family yng? Biashara ya mwanamke kumwambia jamaa muda wowote nakuja hapo inaonekana jamaa alimuliza unaweza kuja saa ngapi na mimi sina wkend wala skukuu ni sku zote natoka asbh kurud usku kwaiyo mwanamke wng anakuwa huru kutoka kila sku na kufanya yake maana anajua muda wng wa kutoka na kurudi.
Kama hujamuoa usimuonee wivu anaweza kuolewa akiwa ndani mwako humohumo
 
Back
Top Bottom