Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

Mawasiliano ya mwanamke wangu siyaelewi

Achana nayo!
Ukishajua hayo anzisha tabia nyingine inayoendana na hiyo ya kwako!!
Akianza kukunyima game tambua Kuna mtu anacheza nae !!!utakapoona anarusha miguu kama punda ukimgusa ujue ameanza kucheza nae game Hadi ugundue umeshaumia sana!!!

Chukua hiyo,nimeiona chini ya jua!
kifupi sku hz hata nikimkaushia kumto.mba hata wk wala hana shda tofauti na zaman mbaya zaid huwa narud usku home naweza mkuta anaangalia tamthiliya nikala nkaoga nikaenda lala takuja stuka alfajiri sjua kaja lala sangapi.
 
Wakuu no reform no....
Mwanamke wngu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kbs, mi nyumban natoka asubuhi sn narudi usku kuanzia saa 4 usku mmoja nliamua kucheck cm ya huyu mwanamke nikakuta muda mwng anachat na huyo bwana mpk wanapeana ahad za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu n kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wp mara amuamshe hatari zaid sms zngne ni za usku muda ambao nakuwa sjarud home sjaamua kumuuliza hlo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kfcho sn akiwa hajui kwmb huwa naptia cm yake maana nlishamzoeza kwmb sgusagi cm yake,jana tu wkt nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
hakuna mwanamke wangu siku hizi bro
 
Usimhukumu,Mtafutie kazi/ biashara au mzalishe dabodabo atakuwa bize ataacha kuwaza ujinga! Hana majukumu ya kumchosha ndo maana anatafuta mtu wa kumpotezea muda!
biashara anayo hapa nyumbani khs kumzalisha mtoto tulinaye anatosha maana tyr alinikuta nina mtoto so kwangu wawili wanatosha na yeye anaye huko kwao.
 
Wakuu no reform no....
Mwanamke wngu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kbs, mi nyumban natoka asubuhi sn narudi usku kuanzia saa 4 usku mmoja nliamua kucheck cm ya huyu mwanamke nikakuta muda mwng anachat na huyo bwana mpk wanapeana ahad za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu n kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wp mara amuamshe hatari zaid sms zngne ni za usku muda ambao nakuwa sjarud home sjaamua kumuuliza hlo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kfcho sn akiwa hajui kwmb huwa naptia cm yake maana nlishamzoeza kwmb sgusagi cm yake,jana tu wkt nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
Mkuu hebu nitumie namba ya mkeo nimhoji vizuri!
 
Ila siku affair zimekua changamoto sana. Hazi na guarrantee kabisaa yan
poleni jamani sio kila mtu ana pitia hayo mapito nyie mnapita, wengine ni kama wana njia ilio safi anakutana na mtu boom ndio soulmate wasoana wanadumu japo ups an downs kibao lakini wanasongambele shida ya sasa ujuaji n mwingi na vile sisi wanawake tunapewa vipaumbele sana sada tuguse unuke!!
 
Hizo red flag zote bado unapata na nguvu za kuomba ushauri wa kufanya?
 
Wakuu no reform no....
Mwanamke wngu simuelewi kuna namba mbili tofauti anawasiliana nazo moja ameisave kbs jina la kiume na kwa jns nlivyofanikiwa kusoma sms anazotumiana na huyo bwana nimegundua ni wa huku tulipo na mwanamke wng huku hana ndugu kbs, mi nyumban natoka asubuhi sn narudi usku kuanzia saa 4 usku mmoja nliamua kucheck cm ya huyu mwanamke nikakuta muda mwng anachat na huyo bwana mpk wanapeana ahad za kuonana mbaya zaid mwanamke huyu n kama vile ndiye anamuanza anamuuliza uko wp mara amuamshe hatari zaid sms zngne ni za usku muda ambao nakuwa sjarud home sjaamua kumuuliza hlo nimeamua ku calm down nimpeleleze mdogo mdogo kwa kfcho sn akiwa hajui kwmb huwa naptia cm yake maana nlishamzoeza kwmb sgusagi cm yake,jana tu wkt nakula usku ye alienda lala nlipoenda lala nikakuta kasnzia kajsahau akiwa anachat na huyo bwana na text ya mwsho alimtakia usku mwema. Wakuu mnaonaje nivute subra huku napeleleza au nkichafue as soon as possible na huu mkoa tuliopo ni una ukimwi ni kama maji.
Subiri ugongewe uumie zaidi... Acha ufala mchane ni swala la muda tu ww unagongewa mkeo sijui hata kama mmeoana au mnaishi tu ki unyumba ila endelea kufuga jipu hilo likitumbuka utalia maumivu yake....
 
Kichafue Aiseeh! Wengine huwa hatuna uvumilivu hata usiku wa manane mtu anaweza fukuzwa haijalishi mmeishi muda gani?
Sinaga uvumilivu kwenye hizo mishe
 
poleni jamani sio kila mtu ana pitia hayo mapito nyie mnapita, wengine ni kama wana njia ilio safi anakutana na mtu boom ndio soulmate wasoana wanadumu japo ups an downs kibao lakini wanasongambele shida ya sasa ujuaji n mwingi na vile sisi wanawake tunapewa vipaumbele sana sada tuguse unuke!!
Ni kwel nakubali. Si kwa wote ila majority ni kisanga sana
 
jamaa mwenyewe anaonekana mzembe mzembe. Me ningeona hiyo hali, sahizi hapa jf ningekua naulizia viwanja gani vimedamshi. Maana ningekua single again chaap
Daah we ka mie tu siwezagi vumilia ungese nikiona red flag najikataa mapema mno...
 
Back
Top Bottom