Mawasiliano ya Bugando hospitali

Mawasiliano ya Bugando hospitali

Bahatinasibu

Member
Joined
Oct 22, 2021
Posts
96
Reaction score
116
Ndugu zangu napiga namba +255282500513 ambazo zipo kwenye website ya Bugando Hospital sipati msaada haipokelei.

Lengo niende kutibiwa wiki ijayo. Sasa nataka kujua siku ambayo unafika na kumuona daktari wa ugonjwa nilionao

Kwenda bila mawasiliano unaweza kuchoma nauli kisha unafika unaambiwa dokta wa ugonjwa wako atakuwepp siku fulani (kuepusha hili nikataka ningepata mawasiliano).
 
Madaktari wanajuana.

Nenda ulipo waelezee ugonjwa. Wakisema procedure waambie huna pesa ila unaishi Mwanza.

Watakuunganisha na wa huko Bugando ili ukipata pesa utibiwe.

Au waambie umetibiwa sana kwao na haujapona omba wakuunge na bingwa wa Bugando
 
A
Madaktari wanajuana.

Nenda ulipo waelezee ugonjwa. Wakisema procedure waambie huna pesa ila unaishi Mwanza.

Watakuunganisha na wa huko Bugando ili ukipata pesa utibiwe.

Au waambie umetibiwa sana kwao na haujapona omba wakuunge na bingwa wa Bugando
Asante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom