Mawasiliano na mpenzi wako

Mawasiliano na mpenzi wako

Mimi ni mzito balaa sinaga time, at least tuwe na programmed chats, calls sipendi kila muda kila dakika. Na swali la kichawi Malaya wengi wanauliza uko wapi, unakuta mbwa hata hasemi hata salamu unganishi hujambo mpenzi umeshindaje?are you ok, nimekumiss natamani nikuone, natamani uwahi kurudi, uko jirani nikufate, uko free tuwe wote? Sasa ajabu vijibwa utasikia uko wapi, kumbe kinaanda mazingira salama ya uelekeo na mchepuko au kumegwa ili aende uelekeo salama. Ogopa mbwa ni mbwa tu.
 
Mimi ni mzito balaa sinaga time, at least tuwe na programmed chats, calls sipendi kila muda kila dakika. Na swali la kichawi Malaya wengi wanauliza uko wapi, unakuta mbwa hata hasema hujambo mpenzi umeshindaje?are you ok, nimekumiss natamani nikuone, natamani uwahi kurudi, uko jirani nikufate, uko free tuwe wote? Sasa ajabu vijibwa utasikia uko wapi, kumbe kinaanda mazingira salama ya uelekeo na mchepuko au kumegwa ili aende uelekeo salama. Ogopa mbwa ni mbwa tu.
Cool
 
Am born romantic but I had this primitive, ugly one and with unmovable village in everything she had with her. I was like how did it even happen that she had clinged in my territorial space for 7 years. Kitu ya kudandia hio haifikangi mwisho hio ni lift ya kuishianga somewhere enroute.
 
Hi,

Vipi wakuu Ni mawasiliano gani unayapenda;. Yale ya kuwasiliana na mpenzi wako Mara kwa mara yaani asubui, mchana,jioni na usiku, au Ile ya asubui na usiku basi.

Au Yale ya kuwasiliana Leo mtachekiana Tena kesho yake, au Yale ya kuwasiliana Mara moja kwa wiki.

Wewe unapenda mawasiliano yapi Kati ya hayo
Asubuhi kujuliana hali ameamkaje na usiku kujuliana hali siku imeendaje kwa umpendaye inatosha

NB: Michepuko ni pale unapotaka kunyandua

Hiyo mara kwa mara ni kukosa kazi
 
Siku hizi sijui nmekuaje nisipochekiwa ndio basi.
Tulioumizwa sana na hiz mambo hatunaga papara Wala appetite nazo sana,Kuna muda huwa nawaza kama mawasiliano yatatutenganisha bas hakuwahi Kuwa wangu......kujizira Kwa sana🙄
 
Tulioumizwa sana na hiz mambo hatunaga papara Wala appetite nazo sana,Kuna muda huwa nawaza kama mawasiliano yatatutenganisha bas hakuwahi Kuwa wangu......kujizira Kwa sana🙄
Ebu imagine mtu anakaa kimya week nzima ukimchek atajivuta weee ajibu ama asijibu badae anakuambia alikua busy, yaan nikishaskia hivi naendelea na mambo yangu. Upuuzi wa kupenda mtoto wa mtu na ukanitoke.
 
Ebu imagine mtu anakaa kimya week nzima ukimchek atajivuta weee ajibu ama asijibu badae anakuambia alikua busy, yaan nikishaskia hivi naendelea na mambo yangu. Upuuzi wa kupenda mtoto wa mtu na ukanitoke.
Kuna mambo unaona kabisa hapa nalazimisha mapenz🤣
 
Mawasiliano ni sehemu ya mapenzi haikimbiliki kama unampenda mtu lazima utake kujua hali yake kila siku !! Labda kama mnaishi pamoja !!

Ila kama ni baba wa familia uko mbali na nyumbani lazima uulize siku yao imeendaje!! Na hakuna ubize wa kukufanya usimjulie hali umpendaye/uwapendao !!

Calls ziwe tu na mpangilio na ratiba basi !! Kwa kuwa niko karibu na familia ila kila siku asubuhi lazima nimpigie mzazi simu !!!
 
Back
Top Bottom