Mawasiliano na mpenzi wako

Mawasiliano na mpenzi wako

Ebu imagine mtu anakaa kimya week nzima ukimchek atajivuta weee ajibu ama asijibu badae anakuambia alikua busy, yaan nikishaskia hivi naendelea na mambo yangu. Upuuzi wa kupenda mtoto wa mtu na ukanitoke.
Naona mlikuwa kwenye kikao Cha WANYAKYUSA hapo. Mkajihisi mpo Uyole Mbeya sio🤭
 
Hi,

Vipi wakuu Ni mawasiliano gani unayapenda;. Yale ya kuwasiliana na mpenzi wako Mara kwa mara yaani asubui, mchana,jioni na usiku, au Ile ya asubui na usiku basi.

Au Yale ya kuwasiliana Leo mtachekiana Tena kesho yake, au Yale ya kuwasiliana Mara moja kwa wiki.

Wewe unapenda mawasiliano yapi Kati ya hayo?
Mara moja kwa mwezi siku za mishahara.
 
Back
Top Bottom