Nimesoma na Nyaga pale Ilboru na nilikaa nae Dom moja kwa zaidi ya mwaka mmoja, ni mchapakazi sana, mwaminifu na smart asiyependa majungu. Kuhusu software ya 1 billion, serikali ndio ya kuulizwa. Tuliambiwa Rada imenunuliwa kwa Billions ngapi? Ndege ya Rais ilinunuliwa kwa kiasi gani? Safari za JK nje zinagharimu mabillion mangapi? Do you trust CCM government?
Katika kila dili chafu ya serikali kuna the other parties, hivyo kama rada ilivyohusisha muhindi aliyetoroka, na bilioni ya brela inaweza kuwa imemuhusisha nyaga katika mchezo mchafu, hapa si mahala pa unazi