Mawalla Advocates yaijibu Jamii Forums

Mawalla Advocates yaijibu Jamii Forums

Hakuna coward anayejiabisha kama yule anayepiga mtu mkwara kwa kutumia ID ya kujificha. Kama unajua zemarcopolo ni nani na unajiamini unaweza kumpiga mkwara, nenda kwenye private message jitambulishe wewe ni nani halafu mpige mkwara zemarcopolo ili zemarcopolo naye apate fursa ya kuhit back halafu uone who will fall down kati yako na zemarcopolo. Hii unayofanya ni sawa na kumnyemelea mtu umrushie jiwe halafu ujitambe kwamba wewe ni babkumbwa.

Kama unaona maoni ya zemarcopolo yanakukera sana mpaka umeona bora kutangaza vita na zemarcopolo basi kuwa na ujasiri to introduce yourself tuingie ulingoni.

Pumbaaaaaavu...

noted with thank kima

i will
 
nilidhani heshima niliyokuwa nayo kwa jf inatosha lakini sasa ninalazimika kuiheshimu zaidi na zaidi ya hap awali!
 
Heh kumbe ndo hivyo,mbona waniogopesha

usiogope rafiki, jamaa kakurupuka kurupuka tumemwangalia... sasa ngoja na sisi tukurupuke "atuangalie

kaua sana vitoto vyetu huyo jamaa tukamkalia kimya
 
Hakuna coward anayejiabisha kama yule anayepiga mtu mkwara kwa kutumia ID ya kujificha. Kama unajua zemarcopolo ni nani na unajiamini unaweza kumpiga mkwara, nenda kwenye private message jitambulishe wewe ni nani halafu mpige mkwara zemarcopolo ili zemarcopolo naye apate fursa ya kuhit back halafu uone who will fall down kati yako na zemarcopolo. Hii unayofanya ni sawa na kumnyemelea mtu umrushie jiwe halafu ujitambe kwamba wewe ni babkumbwa.

Kama unaona maoni ya zemarcopolo yanakukera sana mpaka umeona bora kutangaza vita na zemarcopolo basi kuwa na ujasiri to introduce yourself tuingie ulingoni.

Pumbaaaaaavu...

Kunani tena watu wazima mnatishana na kutunishiana misuli MSIBANI?:nono:
 
Vyovyote ilivyokuwa na yalivyokuwa maisha yake, anajua Nyagga mawalla mwenyewe. Ilikuwa ni jukumu lake (sawa sawa na sisi) mbele za Mungu wake kutengeneza njia yake. Hatukupewa na mwenyezi Mungu sisi wanadamu mamlaka ya kuhukumiana bali kusameheana, kuombeana, kuchukuliana ili naye Mwenyezi afanye hivyohivyo kwetu. Ndio amri ya Mungu. Nilimfahamu akiwa Ilboru, kijana very bright, focused and smart. Niliyosikia baadae na kuonyeshwa na watu juu yake ni mambo aliyochagua yeye na kila mmoja wetu hapa ana uchaguzi wa maisha anayoyataka. Tuzidi kumwogopa Mungu na Mungu aliyemleta Nyagga ampe rehema zake katika namna ya uungu wake. Hayupo msafi hata mmoja miongoni mwetu. Tunazidiana tu kwa tunaouita uchafu/uasi wetu mwanadamu. Pole wazazi, ndugu na jamaa. Nasi tuliobaki Mungu, turehemu na pia tusaidie tuishi, tufikiri na kuwaza yale uliyoyaagiza. Tusimhukumu Nyagga ila tumwombee, tumsamehe na tumtakie kheri aendako, kama nifanyavyo kupitia ukurasa huu. Amin.
 
Vyovyote ilivyokuwa na yalivyokuwa maisha yake, anajua Nyagga mawalla mwenyewe. Ilikuwa ni jukumu lake (sawa sawa na sisi) mbele za Mungu wake kutengeneza njia yake. Hatukupewa na mwenyezi Mungu sisi wanadamu mamlaka ya kuhukumiana bali kusameheana, kuombeana, kuchukuliana ili naye Mwenyezi afanye hivyohivyo kwetu. Ndio amri ya Mungu. Nilimfahamu akiwa Ilboru, kijana very bright, focused and smart. Niliyosikia baadae na kuonyeshwa na watu juu yake ni mambo aliyochagua yeye na kila mmoja wetu hapa ana uchaguzi wa maisha anayoyataka. Tuzidi kumwogopa Mungu na Mungu aliyemleta Nyagga ampe rehema zake katika namna ya uungu wake. Hayupo msafi hata mmoja miongoni mwetu. Tunazidiana tu kwa tunaouita uchafu/uasi wetu mwanadamu. Pole wazazi, ndugu na jamaa. Nasi tuliobaki Mungu, turehemu na pia tusaidie tuishi, tufikiri na kuwaza yale uliyoyaagiza. Tusimhukumu Nyagga ila tumwombee, tumsamehe na tumtakie kheri aendako, kama nifanyavyo kupitia ukurasa huu. Amin.

Ameeen...
 
Kaka kucha yangu iko hatihati kung'olewa (si umeona mkwara niliopigwa) ndio maana nataka angalau nimjue mng'oaji...

dogo... uko uchi chuntama tu aisee

cheap pop ups wont lead you anywhere... just count your blessings dont demean other on you course

I swear kuna siku utaniamkia,

ila hizo za kutoana kucha vitu gani i am not into it because i dont do politics

time will tell
 
Kunani tena watu wazima mnatishana na kutunishiana misuli MSIBANI?:nono:

kuna wachumia vivulini (vya akali) naona wanajisahau na kuwa judgemental humu, bahati nzuri hawa madogo tunawamudu
 
dogo... uko uchi chuntama tu aisee

cheap pop ups wont lead you anywhere... just count your blessings dont demean other on you course

I swear kuna siku utaniamkia,

ila hizo za kutoana kucha vitu gani i am not into it because i dont do politics

time will tell

Unajua TIMING wewe ni kichekesho sana. Unaniita dogo, halafu unasema kuna siku nitakuamkia. Sasa kama mimi ni dogo kwako kukuamkia kunakuwa na tatizo gani?

Kama kukuamkia ndio adhabu unayotaka kunipa wala usipate shida kaka yangu nakuamkia sasa hivi SHIKAMOO kaka ili ugomvi uishe kama alivyosema Amoeba tuko msibani, si busara kuleta malumbano yasiyo na msingi. Kama nilivyosema awali, kama una private problem na mimi unaweza kuja PM kujitambulisha na tukaendelea na mjadala mwingine nje ya page hii ya msiba.
 
Last edited by a moderator:
Nimesoma na Nyaga pale Ilboru na nilikaa nae Dom moja kwa zaidi ya mwaka mmoja, ni mchapakazi sana, mwaminifu na smart asiyependa majungu. Kuhusu software ya 1 billion, serikali ndio ya kuulizwa. Tuliambiwa Rada imenunuliwa kwa Billions ngapi? Ndege ya Rais ilinunuliwa kwa kiasi gani? Safari za JK nje zinagharimu mabillion mangapi? Do you trust CCM government?
 
Nimekuwa singita grumeti kwa kipindi kirefu ngoja nitafute details za kutosha then nitarud

Aisee huyu jamaa sitaki kumsikia, mara ya mwisho nimeonana naye mwaka jana alikuja pale Natta kusaini mkataba wa kuuziwa plot maeneo ya MOTUKERI. Pia aliwatapeli WMA chini wa mwenyekiti wake wakapata ufadhidili wa mabilioni ya pesa kutoka nje. Zilivyowekwa kwenye a/c yake hakuonekana.
 
Mnamsema Nyaga ni smart in whay way ? Mbona sijaona kama kajibu hoja yeye kakataa tu lakini hoja imebana mezani ni vipi hapa ?Mwambieni ajibu hoja aliuza kwa 1bn ? If yes ndiyo gharama zake za ukweli ? Then tuanzie hapo .

Pamoja na kwamba Mungu kaamua hii iwe dismissed case lakini warithi wake watakuja ulizwa tu
 
Mimi namjua Nyaga vizuri kutoka wakati wa Ilboru na si fisadi. Ni kweli kwamba ni mtu ambaye si wa bei nafuu na kama akifanya kitu ata toa bill kubwa kwa kazi yake lakini kazi yake ni nzuri na haina usirisiri hata kidogo. Ni business lawyer mzuri na nilivyoongea na wafnaya biashara na mikataba ya biashara ni mtu wa uwazi. Nyaga ni mfano mzuri kwa vijana wa Kitanzania ni jinsi gani unaweza kufanya kazi kwa maadili mema.

Mkuu ukisema unamjua vizuri tangu Ilboru na si fisadi, ulitegemea afanye ufisadi akiwa Ilboru, hapo huna hoja unataka tujue tu kuwa ulisoma nae, Hongera sana kwa kusoma na Nyaga
 
Back
Top Bottom