Nawashauri tu, mnafanya dhidi ya Lissu iwe kweli. Sio kukaa vikao vya siri mkajadiliana dhidi ya kumkwamisha Lissu na kufarihisha wengine.
Helo hapa duniani mnaweza mkajiona wajanja lkn siku ukifumba jicho utaona madhara yake.
Mtendeni haki Lissu bila kumuonea huruma lkn bila vikao vya siri vya kuona jinsi mnakwamisha lkn ndani ya nafsi yenu mnaamini tofauti.
SIKU YA HESABU
Katika Surah ‘Abasa (80:34–37), Allah anasema:
“Siku ambayo mtu atamkimbia ndugu yake,
Na mama yake na baba yake,
Na mke wake na watoto wake.
Kila mtu siku hiyo atakuwa na jambo lake litakalomtosha.”
HAKI NDIO MSINGI WA BINAADAM
Ushahidi wa Qur’an
Qur’an 4:135 – “Enyi mlioamini! Simameni imara katika uadilifu, mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, hata kama ni dhidi ya nafsi zenu…”
Qur’an 5:8 – “Msichukiwe na watu mkashindwa kutenda haki. Tendeni haki; hiyo ndiyo karibu zaidi na uchamungu.”
Hii inaonyesha kuwa haki si chaguo bali ni amri ya kidini.
Maana ya Kutenda Haki
Kutenda haki ni:
Kumpa kila mtu haki yake bila dhulma.
Kuhukumu kwa usawa bila upendeleo wa mali, undugu au chuki.
Kuepuka ushahidi wa uongo na dhulma.
Kusimamia ukweli katika jamii, familia, na uongozi.
Mtume Muhammad (S.A.W) alionya kuwa dhulma ni giza Siku ya Kiyama, na viongozi waadilifu watakuwa katika kivuli cha rehema ya Allah.
RAMADHAN IWE LKAREEM
Helo hapa duniani mnaweza mkajiona wajanja lkn siku ukifumba jicho utaona madhara yake.
Mtendeni haki Lissu bila kumuonea huruma lkn bila vikao vya siri vya kuona jinsi mnakwamisha lkn ndani ya nafsi yenu mnaamini tofauti.
SIKU YA HESABU
Katika Surah ‘Abasa (80:34–37), Allah anasema:
“Siku ambayo mtu atamkimbia ndugu yake,
Na mama yake na baba yake,
Na mke wake na watoto wake.
Kila mtu siku hiyo atakuwa na jambo lake litakalomtosha.”
HAKI NDIO MSINGI WA BINAADAM
Ushahidi wa Qur’an
Qur’an 4:135 – “Enyi mlioamini! Simameni imara katika uadilifu, mashahidi kwa ajili ya Mwenyezi Mungu, hata kama ni dhidi ya nafsi zenu…”
Qur’an 5:8 – “Msichukiwe na watu mkashindwa kutenda haki. Tendeni haki; hiyo ndiyo karibu zaidi na uchamungu.”
Hii inaonyesha kuwa haki si chaguo bali ni amri ya kidini.
Maana ya Kutenda Haki
Kutenda haki ni:
Kumpa kila mtu haki yake bila dhulma.
Kuhukumu kwa usawa bila upendeleo wa mali, undugu au chuki.
Kuepuka ushahidi wa uongo na dhulma.
Kusimamia ukweli katika jamii, familia, na uongozi.
Mtume Muhammad (S.A.W) alionya kuwa dhulma ni giza Siku ya Kiyama, na viongozi waadilifu watakuwa katika kivuli cha rehema ya Allah.
RAMADHAN IWE LKAREEM