Mawakili wa Serikali kuitwa kazini

Mawakili wa Serikali kuitwa kazini

Kuna wadau walienda wakaambiwa tatzo ni pesa na ndicho wanafuatilia hazina kwa sasa na once zikitoka tu wataita watu.
 
N Kawaida Hasa Kwa AG, Pia Kuna Ndugu Yngu Wao Walikaa Miez 5, Na Walipoanza Walipewa Pesa Zao Za Miez Mi 5, Ukwel Tunataman Kupiga Kaz. Ila Kuvumilia Nayo Ni Shughul Ila Kazi Tutafanya
 
Ahaaa kama ni kweli huwa wanatoa ela yote kuanzia kuripoti basi syo mbaya mkuuu..
 
Unamanisha izo pesa wanazotoa hasa hao waliokaa miezi miezi 5 ni mshahara au pole ya kusubiri muda mrefu ?
 
Kama nilivyomuekewa ni mishahara hyo
 
Kwanza badili kichwa cha habari, hakuna mawakili wa serikali ila kuna wanasheria wa serikali.
Back to topic; kwa kuwa usahili wa awali hawakupata idadi ya kutosha basi nadhani wameamua kusubiri ili wawaunganishe na wale watakaofanya usahili tar 03 feb. Naamini wataitwa wiki chache baada ya feb 03.
Mpe mdogo wako pole
mzee hao ni mawakili wa serikali tu (State Attorneys), au unataka tuanze kuwaita government lawyers/state lawyers?...hahaha. you can use those names interchangeably. just choose what you feel good to call.
 
Unamanisha izo pesa wanazotoa hasa hao waliokaa miezi miezi 5 ni mshahara au pole ya kusubiri muda mrefu ?

Ni Mishahara Yenu, Ya Kujikimu, Na Mavazi Yenu. Kwa Mavaz Except Ps, Na Kushuka Chn, Kwa Hayo Labda Wabadil Mwaka Huu. Ha Ha Ha Jiandaen Kupokea Kitita Na Semina Za Nje Ya Nchi
 
Ni Mishahara Yenu, Ya Kujikimu, Na Mavazi Yenu. Kwa Mavaz Except Ps, Na Kushuka Chn, Kwa Hayo Labda Wabadil Mwaka Huu. Ha Ha Ha Jiandaen Kupokea Kitita Na Semina Za Nje Ya Nchi

Semina nje ya nchi ? Iyo Ps ndo nn ?
 
Ni mawakili wa Serikali. Na tunao Mawakili wa kujitegemea na wale wa Serikali. Zamani Serikali ilikuwa inaajiri wanasheria tu ambao hawajawa Mawakili. Kwa sasa hilo halipo tena, wote kabla ya kuajiriwa lazima uwe ni wakili. Sijui anayesema ni wanasheria na hakuna kitu mawakili wa serikali hii anaitoa wapi. Neno ATTORNEY ktk dictionary maana yake ni "advocate, counsel etc " sasa hawa wanaitwa STATE ATTORNEYS, kwa kiswahili MAWAKILI WA SERIKALI. Hebu angalia Advocates Act, Cap 341 inavyotoa maana ya neno "Advocate" au "wakili" kwa kiswahili: "Advocate means any person whose name is dully entered as an advocate upon the Roll". Sheria inamtambua mtu kuwa ni wakili/advocate kwa kule tu kuapishwa na kuingizwa kwenye oradha ya mawakili na Jaji Mkuu. Kwa taarifa tu hawa watakaoajiriwa na serikali ni mawakili/advocates/attorneys kwani majina yao yapo na yataendelea kubaki katika oradha ya mawakili/Roll labda waache kulipia ada ya uwakili wao. SIJUI UMETOA WAPI HILO NENO ETI SIYO MAWAKILI WA SERIKALI NI WANASHERIA WA SERIKALI AU SIJUI ALIPATA SHIDA GANI KUONA HAWA WASOMI MAWAKILI WAKIITWA MAWAKILI WA SERIKALI?
 
Ni mawakili wa Serikali. Na tunao Mawakili wa kujitegemea na wale wa Serikali. Zamani Serikali ilikuwa inaajiri wanaseheria tu amabao hawajawa Mawakili. Kwa sasa hilo halipo tena, wote kabla ya kuajiriwa lazima uwe ni wakili. Sijui anayesema ni wanasheria na hakuna mawakili wa serikali hii anaitoa wapi. Neno ATTORNEY ktk dictionary maana yake ni "advocate, counsel etc ". Hebu angalia Advocates Act, Cap 341 inavyotoa maana ya neno "Advocate" au wakili kwa kiswahili: "Advocate means any person whose name is dully entered as an advocate upon the Roll". Sheria inamtambua mtu kuwa ni wakili/advocate kwa kule tu kuapishwa na kuingizwa kwenye oradha ya mawakili na Jaji Mkuu. Kwa taarifa tu hawa watakaoajiriwa na serikali ni mawakili/advocates/attorneys kwani majina yao yapo na yataendelea kubaki katika oradha ya mawakili/Roll kama wataendelea kulipia ada zinazohitajika kwa wale wasio practice. SIJUI UMETOA WAPI HILO NENO ETI SIYO MAWAKILI WA SERIKALI NI WANASHERIA WA SERIKALI?

Inaonekana unawafahamu sana hawa watu hasa kwa AG. Tuambie basi wataajiri lini km thread inavyodai ?
 
Serikali ya ccm haina pesa zote zimeliwa kwenye dili la escrow ndo maana huyu ndugu hajaitwa lakini akikubali kujitolea kufanya kazi bila malipo hata kesho watampa kituo cha kazi.
 
Serikali ya ccm haina pesa zote zimeliwa kwenye dili la escrow ndo maana huyu ndugu hajaitwa lakini akikubali kujitolea kufanya kazi bila malipo hata kesho watampa kituo cha kazi.

Kwan zile posts zilikuwa za volunteer ? Wewe unamini vp serikali haina hela ? Kama sio ukanjanja tu.
 
Kwan zile posts zilikuwa za volunteer ? Wewe unamini vp serikali haina hela ? Kama sio ukanjanja tu.

Pesa zimeliwa kwenye escrow serikali imefilisika mpaka makandarasi wamesimama hawafanyi kazi kwa baadhi ya mikoa
 
Pesa zimeliwa kwenye escrow serikali imefilisika mpaka makandarasi wamesimama hawafanyi kazi kwa baadhi ya mikoa

Kama imefilisika, how comes inaendelea kuajiri watu kuptia utumishi, hamna lolote zaidi ya kuchukua mambo kirahisi.
 
Back
Top Bottom