Mawakili wa Serikali kuitwa kazini

Mawakili wa Serikali kuitwa kazini

Kama imefilisika, how comes inaendelea kuajiri watu kuptia utumishi, hamna lolote zaidi ya kuchukua mambo kirahisi.

Hao wanaoajiri una uwakika wanalipwa mishahara yao kwa muda muafaka?
 
Hao wanaoajiri una uwakika wanalipwa mishahara yao kwa muda muafaka?

Kulipwa mishahara muda muafaka sio tatizo la mwaja huu, kila wakati wajiriwa wanalalamika kuchelewa mishahara yao, sio kigezo hiko, tunarudi pale pale wanachukulia mamboa simply
 
Kulipwa mishahara muda muafaka sio tatizo la mwaja huu, kila wakati wajiriwa wanalalamika kuchelewa mishahara yao, sio kigezo hiko, tunarudi pale pale wanachukulia mamboa simply
Endelee kumpa moyo huyu ndugu yako
 
Serikali ya ccm ina hali mbaya sana kifedha
 
Hapo mpaka mwakani labda anaweza kuitwa baada ya uchaguzi mkuu

Wewe pilipili za shamba zakuwashia nn, watu very soon kitu na boksi hapa tunawapa moyo tu wasaka tonge walio njiani na wale wasiokuwa na matumaini hata ya kuitwa loh.
 
Wewe pilipili za shamba zakuwashia nn, watu very soon kitu na boksi hapa tunawapa moyo tu wasaka tonge walio njiani na wale wasiokuwa na matumaini hata ya kuitwa loh.
Mnawapa moyo kwani umeambiwa wapo humu Jf
 
Bwana Denning nakubaliana na wewe 100% niligundua huyu bwana hajui aliponikosoa nashukuru kwa kumwelekeza vyena
 
Serikali haina pesa kwa sasa kwani hata baadhi ya mihimili inashindwa kuihudumia inavyotakiwa. Hata hizi ajira zinazotoka inawezekana ni kiini macho au ni kisiasa ili ionekane serikali imetoa ajira za kutosha kwa vijana ili iwe sera ya kutembelea kwenye uchaguzi ujao. Kumbukeni yupo mtu anayetajwa kuwania kuteuliwa kugombea Urais kupitia CCM amekuwa akidai ukosefu wa ajira ni bomu lazima litafutiwe ufumbuzi. Tazama na kwenye mtandao wa sekretarieti ya ajira taarifa za mafanikio ya sekretarieti kwenye kutoa ajira, wanajisifu na wanatoa takwimu tena hawatwambii kwamba wale wapo walioshinda usahili bado wako mtaani. Waliopangiwa hawapati mshahara tangu walipopangiwa huu ni mwezi wa tano. TANZANIA KILA KITU KINAENDESHWA KWA MASLAHI YA KISIASA BAADAE. PROJECTION YA WATENDAJI WA SERIKALI SI JUU YA NAMNA NCHI ITAKAVYOPIGA HATUA MBELE BALI NI NAMNA CHAMA FULANI KITAKAVYOENDELEA KUBAKI MADARAKANI HATA KWA UONGO TU. Serikali haina pesa, walioshinda usahili hawajaitwa kazini, Rais anataka daftari la wapiga kura liboreshwe sasa na kura ya maoni ipigwe sasa, Uchaguzi ni mwaka huu huu. Hivi mnategemea nini jamani?. Hii hahihitaji uwe UKAWA kuliona hili kwamba MR PRESIDENT IS NOT TAKING THE RIGHT PATH kwakweli.
 
Hv Si Ulisema Mwez Huu Twende Kw Ag? Tukaweke Kambi

Ngoja zikaribie tarehe za mwishoni mwa feb. tutajiorganize hata kwa wasap kisha tunawaendea kuwaskiliza maneno ya, itakuwa bora tumuone mhsika mkuu pale.
 
Wadau walioenda kwa AG watupe feedback
 
Unaweza nipa ilo tangazo la interview ya kujaza idadi.

mlipoitwa nyie wakatangaza tena mwaka jana November state ATTORNEYS 66 interview imefanyika mwezi huu wa pili tarehe 3 ndio wanasubiri majibu watu wakafanye kazi
 
mlipoitwa nyie wakatangaza tena mwaka jana November state ATTORNEYS 66 interview imefanyika mwezi huu wa pili tarehe 3 ndio wanasubiri majibu watu wakafanye kazi

Duuu! Hi Kipimo Cha Iman, Amini Bila Kuona, We Will Koma
 
Ha ha ha ha, utakoma nn tena wakati ushakuwa patient mda mrefu sana, juc keep on tolerating rayd.

Aagh! Mi Nshachoka Bhana, Kila Cku Nategeshea Cm Isizme Chaj, Asubuh Mpaka Jion, Oola, Wik Mwez, Uwiii Nshaishiwa Poz, Ntapata Ugonjwa Wa Moyo, Nikisikia Simu Inaita Najua Haoooo!
 
Back
Top Bottom