oscar classic
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 732
- 1,326
Wakuu.
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Moja kwa moja kwenye mada wakuu, katika bajeti ya Mhe. Mwigulu Nchemba alipendekeza kuwepo na tozo katika kila miamala ya kifedha itakayokuwa inafanyika, yale mapendekezo matekelezo yake yanaanza kesho 15 July.
Sasa kilichonifanya niandike uzi ni haya makato yanayoongezeka kwa mteja anayetoa pesa, makato yamekuwa makubwa sanaa. Wasiwasi wangu ni wateja kuamua kukacha kuweka pesa kwenye simu kitu kitakachopelekea kushusha kipato chetu sisi mawakala.
Wakuu hii imekaaje aisee!?
Ni matumaini yangu mu wazima wa afya.
Moja kwa moja kwenye mada wakuu, katika bajeti ya Mhe. Mwigulu Nchemba alipendekeza kuwepo na tozo katika kila miamala ya kifedha itakayokuwa inafanyika, yale mapendekezo matekelezo yake yanaanza kesho 15 July.
Sasa kilichonifanya niandike uzi ni haya makato yanayoongezeka kwa mteja anayetoa pesa, makato yamekuwa makubwa sanaa. Wasiwasi wangu ni wateja kuamua kukacha kuweka pesa kwenye simu kitu kitakachopelekea kushusha kipato chetu sisi mawakala.
Wakuu hii imekaaje aisee!?