cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,324
Pole acha turudi bank makato kiduchu kabisa na Niko mjini ATM za kumwagaKuhusu wakala kupiga pesa ii hapana ,maana gawio kwa Wakala halijaongezeka na iyo pesa iliyoongezeka ni tozo ya serikali,
Sanasana atakosa wateja maana makato ni makubwa.