Mawakala wanne CHADEMA wafa ajalini

Yaani wewe unajichumia dhambi bure. Kwani hadi umri huo huwezi tenganisha masihara na majengo kama kifo? Unafikiria wafiwa wanazichukuliaje kauli zako haswa kwenye kipindi hiki kigumu?
Wanajua kuwa mumiani mumeshafanya yenu.
 
Duh...pole wafiwa ..ni pigo kubwa familia zao..poleni Sana Ndugu wafiwa...
 


Kama Kuna machafuko ya Kisiasa yatatokea kwenye Uchaguzi huu basi wa kulaumiwa ni TUME YA UCHAGUZI(NEC) TANZANIA!
 
Hao hao waliokutag umesahau akifa mtu wanauliza ni chama gani na wanasema kama ni ccm wafe tu, sasa nashangaa leo wanaona kinyume, au ndio ile mkuki kwa nguruwe, ila nimekuelewa mama D
 
Hao hao waliokutag umesahau akifa mtu wanauliza ni chama gani na wanasema kama ni ccm wafe tu, sasa nashangaa leo wanaona kinyume, au ndio ile mkuki kwa nguruwe, ila nimekuelewa mama D
Sisi tuishi kama binadamu wenye utu mkuu
 
Wasenge ni ukoo wako kuanzia wewe mwenyewe na unatembea na gunzi ili likukune unapokosa wateja na pia kuzuia uchafu kudondoka njiani
Kumbe wewe ni shoga [emoji23][emoji23] naona umeleta tangazo indirectly.. Hongera kwa kujikuna na gunzi ukikosaga wateja, inaonesha ni jinsi gani unajali hisia zako!
 

Kufa tufe tunadai haki. Kufa kwa ajali ni hasara kubwa.

Wakuu spidi za magari, madereva wa makamo - rais wetu mtarajiwa na alindwe zaidi.

Pumzikeni kwa amani makamanda.
 
Kumbe wewe ni shoga [emoji23][emoji23] naona umeleta tangazo indirectly.. Hongera kwa kujikuna na gunzi ukikosaga wateja, inaonesha ni jinsi gani unajali hisia zako!
Ndio unaniita nije nikuweke gunzi, umejisafisha lakini ?? Maana wenzio wengi wapi humu wanatekeleza sera za "saccos" ndio walio andika hapo awali matumizi ya hilo gunzi, na wewe naona unaunga mkono juhudi kwa kujifanya unaaibu
 
Samahani hebu nisaidie kujua Tume wanahusikaje hapa?

Pole kwa familia za Watanzania waliopoteza maisha...

October 28th twende kwa wingi tukampigie kura za NDIO Magufuli.

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Nec/ccm wanahusika vifo hivyo, na watadaiwa damu iliyomwagika siku ya hukumu, kulazimisha kuwapeleka kwa mkurugenzi mawakala wote na wanalazimika kusafiri mwendo mrefu, jografia yetu sehemu zingine hairuhusu, sheria ya uchaguzi inasema wazi kwamba hata designated person yaani msimamizi msaidizi wa uchaguzi aweza kuwaapisha mawakala, ccm wauaji, nec wamechangia vifo kutokea, kila jambo huwa lina chanzo chake, Interpol wakifanya uchaguzi watabaini haya ninayoyasema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…