Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,363
- 2,372
Kamanda wa polisi visiwani Zanzibar CP Hamad Khamis Hamad amesema baada ya wazazi wengi kuripoti kuwa kuna wimbi la vijana wengi visiwani humo kupotea bila kujulikana wanaenda wapi.
Jeshi la polisi liliamua kufanya uchunguzi na limekamata nyaraka mbalimbali zenye aya za kitabu kitakatifu cha Quran zinazohamasisha vijana kujiunga na kuziondoa serikali zote za kikafiri, hivyo kuashiria kuwa hayo ni mafunzo ya kigaidi.
CP Hamad amesema kuanzia sasa jeshi la polisi litaanza kufuatilia hata mafunzo yanayotolewa kwenye baadhi ya madrasa.
Pia, soma:
The Chanzo: Vijana Zanzibar watoweka katika mazingira tatanishi. Wazazi, polisi watoa kauli kinzani
Jeshi la polisi liliamua kufanya uchunguzi na limekamata nyaraka mbalimbali zenye aya za kitabu kitakatifu cha Quran zinazohamasisha vijana kujiunga na kuziondoa serikali zote za kikafiri, hivyo kuashiria kuwa hayo ni mafunzo ya kigaidi.
CP Hamad amesema kuanzia sasa jeshi la polisi litaanza kufuatilia hata mafunzo yanayotolewa kwenye baadhi ya madrasa.
The Chanzo: Vijana Zanzibar watoweka katika mazingira tatanishi. Wazazi, polisi watoa kauli kinzani