GentleGiant
JF-Expert Member
- Sep 22, 2021
- 584
- 541
Waislamu duniani sio wajinga kama ambavyo mnajaribu kuwafikiria. Kwa muislam aliyejaribu kusoma sana Quran na kuielewa kweli kweli asipojihusisha na jihad basi ujue moyoni mwake anapambana sana. Kiukweli kuna mafundisho mengi sana ambayo yanashawishi kufanya matendo ambayo general population tumeya-term kama matendo ya kigaidi.Kuna Waislamu wengi wanao elewa mafundisho ya dini yao vizuri.
Ila kuna wachache sana na ndio hao wanao leta fujo.
Wameshindwa kabisa kuyafafanua na kuyaelewa mafundisho mazuri ya dini ya kiislamu.
Ushauri
Waalimu wa Kiislamu kuanzia Wazazi Viongozi wa Madrasa hadi vyuo wanao wajibu wa kuwafundisha vijana wao madhumuni mazuri ya dini ya Kiislamu.
Hii ni pamoja na kuwaambia kuhusu watu wa dini nyingine kama Wayahudi na Wakristo kuwa ni watu wema pia.
Ugaidi unaanzia katika malezi ya ngazi ya familia na kuendelea.
Kwa anayetaka kujua zaidi anicheki nimtumie kitabu kilichoandikwa na Pakistanian Devout Muslim kinaitwa 'ANSWERING JIHAD: A better Way Foward'