Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
- Thread starter
- #41
Ushauri mzuri sana huu.Milioni 2? Siuzitunzeuje kumpa mkeo wa ndoa au mtumie mzazi wako kijijini
Ushauri mzuri sana huu.Milioni 2? Siuzitunzeuje kumpa mkeo wa ndoa au mtumie mzazi wako kijijini
Hakika mkuu. Wakati wa Mungu ndiyo wakati sahihi zaidi.Ohoo sasa kubali tu yanayokukuta, wakati ukifika aliyesahihi atawasili
Aisee mkuu asante sana. Hii imekaa sawa. Kweli JF ni kisima cha maarifa. Nimeichukua hii. Tena not necessarily vyuoni, hata kwenye maeneo mengine mtambuka. Thanks a lot.Chukua likizo, vaa casual.. ingia mapindi ya udsm hapo ya mwaka wa 3 then chukua namba zako kadhaa hlf anza kufanya assesment zako. Huwezi kosa hata mmoja aisee
Bila shaka wewe ni dereva wa wizara fulani.
Siyo kwamba yatakuwa yaleyale mkuu?Achana suti piga kaunda suti
[emoji3][emoji3] umenitafsiri vibaya mkuuWiki 3 tu kwenye mahusiano unataka kuoa?
Hawana uwezo wa kutafuta wacha tuwape.Ni wanaume wajinga pekee wakiombwa hela wanatoa. Kwani huyo mwanamke angeishije bila kuweko wewe!? Ninyi mnaeona mwanamke ndio wakupewa hela mnaharibu sana
[emoji23]Juzi tu hapa kuna binti kasema hataki tuendelee nikajibu sawa kwaheri nikapiga kimya mara jana ooh ukujirekebisha mi niko tayari Tuwe pamoja tena ,kimya why hujibu kimya.
Nahitaji champoo,balsam,oliv oil sijui vitu gani.
Mi kimya tu.
Sio kwamba siwezi kumpa ila nikimpa akipendeza jeuri itaanza,mwache abaki kama kinyago vile.