Amicus Curiae
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 5,352
- 7,668
- Thread starter
- #61
Amen mkuu.Kama ni Suti mbona ni wanaume wengi tu wanavaa? mshirikishe Mungu kwa maombi ili uweze kupata Mke mwema.
Amen mkuu.Kama ni Suti mbona ni wanaume wengi tu wanavaa? mshirikishe Mungu kwa maombi ili uweze kupata Mke mwema.
Uko sahihi kabisa mkuu. Nashukuru.Fanya yale unaoweza, mengine yasikuumize kichwa...
[emoji3][emoji3] dah!Usitake kuaminisha watu kuwa suti ni vazi tu, tambua kuwa suti ni kwa ajili ya class fulani kisha amua kuendana nayo au uwe kenge kwenye msafara.
Live up your standards.[emoji1614][emoji276]
[emoji23]hapo inabidi uvae suti na yeboyebo ili wajue wewe ni mwananchi mnyonge kabisa.
Hapana mkuu.Ww ni mweka hazina wa waadventist?
Naona umeanza kupiga ramli mkuu [emoji3]Tena wewe utakuwa unafanya kazi ya sheria, wanaovaa suti ni wanasheria na umejiita amicus curiae tena kama ni mwanasheria wa dar utakuwa njaa tupu na bado mademu wanataka kukukamua
Aah!bac yawezkana we n msabato maana ndo wenye vinasaba na sutiHapana mkuu.
[emoji3][emoji3] aisee!Aah!bac yawezkana we n msabato maana ndo wenye vinasaba na suti
Nmekosea mkuu au nipo mulemule?[emoji3][emoji3] aisee!
Angalia na school mates kuanzia primary hadi chuo kama ulifanikiwa,unaweza kupata mnaeendana kidogoThis is true. Ila kwa upembuzi yakinifu niliokwishaufanya, hapa ofisini sijaona wa kufanana naye.
[emoji3][emoji3]Ha ha ha Counsel
Unatumia mbinu gani mkuu?Mimi madem wanaonizunguka au naokutana nao kwenye mizunguko ya kazi yangu wqnaogopa kunipiga mizinga...aiseee
Noted, mkuu.Angalia na school mates kuanzia primary hadi chuo kama ulifanikiwa,unaweza kupata mnaeendana kidogo
Hapana mkuu.Unafanya kazi tarura ??
Umekosea mkuu.n
Nmekosea mkuu au nipo mulemule?
Tatizo la wavaaji suti wanajiona hii nchi ni mali yao ndio maana mnakuwa victims of the society.Wakuu, habarini za wakati huu na poleni na mabadiliko ya tozo za miamala ya kifedha kwa njia ya mitandao ya simu.
Kuna nyakati kweli tunafanya mizaha lakini hapa nawashirikisha jambo hili 'on a serious note', comment ukiwiwa kufanya hivyo, usipojisikia soma tu halafu pita, usinikejeli au kunitusi; lakini ukifanya hivyo amini kwamba nimeshakusamehe.
Mimi ni kijana ambaye ndiyo naanza maisha. Kazi ninayoifanya inanilazimisha nivae SUTI kila siku kuanzia j3-Ijumaa, tena kuna wakati nikiwa na kazi maalumu navaa mpaka jumamosi, kwahiyo mara nyingi nakutana na mabinti nikiwa nimevaa vazi hilo, suti zinakuwa za rangi tofauti tofauti; niwe ofisini, mgahawani, mtaani n.k.
Shida ni kwamba mabinti wengi wanapenda muonekano wangu, lakini pili wengi WANAAMINI nina pesa nyingi, so najikuta naombwa pesa sana. Kuna binti mmoja ambaye nilidhani anaweza kuwa mke..huyu tulianza vizuri, hakuomba pesa wala vocha kwa wiki 3 za kwanza, baadaye akaanza kidogokidogo nikawa nam-support, nilikuja kuchoka siku ananiomba milioni 2 za mtaji wa biashara fulani aliyotaka kuifanya, halafu tatizo lingine kubwa akawa hana subira. Nikimwambia asubiri nimtafutie ananuna, anaamini ninayo ila namnyima kumbe kweli sina.
Week end ndiyo navaa casual. Nifanyaje kaka zangu na dada zangu? Ili niwaaminishe suti ni vazi tu. Manake mwingine akikukuta na suti yani hakuelewi ukimwambia huna pesa.
Naombeni msaada wenu. Asanteni.
Situmii mbinu wenyewe tu wanaogopa...Unatumia mbinu gani mkuu?