Mavazi, Mitindo, Mapozi na Sanaa Hizi 'Vimeenda Shule'..unakubali haukubali?!

spotlight.jpg


Stara Thomas, mwimbaji wa zouk akiwa amevalia vazi murua kabisa!
Picha: hisani ya haki-hakingowi blog.


Vazi hili ndio nasikia lilichaguliwa kuwa vazi la taifa (la kike) hapa Tanzania. Sijui naota?
 
Maonesho yao (according to michuzi globu) nadhani yanaanza 15th November.
Kimoja nilichokiona ni hiyo logo yao. Utakubaliana nami kuwa nembo ifuatayo imeenda shule:

steved-albums-mh_pinda-picture175-swahilifashionweek.jpg


Wewe unasemaje? :)

 
Vazi hili ndio nasikia lilichaguliwa kuwa vazi la taifa (la kike) hapa Tanzania. Sijui naota?

Mama, lililochaguliwa kuwa vazi la taifa nafikiri liko hapo juu kidogo.. naomba ucheck tena.

BTW mama, je ni hizo rangi rangi za bendera ndizo zimekufanya ulipende na kusema hivyo au ni mishono?!
 
Mama, lililochaguliwa kuwa vazi la taifa nafikiri liko hapo juu kidogo.. naomba ucheck tena.

BTW mama, je ni hizo rangi rangi za bendera ndizo zimekufanya ulipende na kusema hivyo au ni mishono?!

ooh kumbe, hilo limefanana kinijeria fulani hivi.

Vazi hili ndio haswaa liko distinct, kwani maana ya vazi la taifa ni nini hasa, labda hapo ndipo ninapokosea.

Nimevutiwa na vyote mwanangu mpendwa,

Rangi imekubaliana na dhana ya utaifa..though sio lazima tuvae hizo Rangi.
Mshono bwana, huu hauchagui umbile.

Hivi elegent maana yake nini?
 
ooh kumbe, hilo limefanana kinijeria fulani hivi.

Vazi hili ndio haswaa liko distinct, kwani maana ya vazi la taifa ni nini hasa, labda hapo ndipo ninapokosea.

Nimevutiwa na vyote mwanangu mpendwa,

Rangi imekubaliana na dhana ya utaifa..though sio lazima tuvae hizo Rangi.
Mshono bwana, huu hauchagui umbile.

Hivi elegent maana yake nini?



Baada ya wewe kulizungumzia, limenivutia. Ambacho hakikunivutia ni hili linalofanana na dizini ya kinijeria. (Imekuwa bahati mbaya sipendezwi na vazi la kinaijeria).


Hilo alilotaja mama naona kama tuna husiana nalo kinamna flani hivi katika historia. Wamasai? Watu wa Pwani? Waislam? Southern of Sahara?



.
 
Baada ya wewe kulizungumzia, limenivutia. Ambacho hakikunivutia ni hili linalofanana na dizini ya kinijeria. (Imekuwa bahati mbaya sipendezwi na vazi la kinaijeria).


Hilo alilotaja mama naona kama tuna husiana nalo kinamna flani hivi katika historia. Wamasai? Watu wa Pwani? Waislam? Southern of Sahara?



.

Yah, linaonekana multicultural kama tulivyo Watanzania.
 
Back
Top Bottom