Rwabukambara
Member
- Mar 16, 2011
- 41
- 19
Wadau wa Forum hii... hivi mnaonaje suala la ununuzi wa magari kwa Installment kama nchi za wenzetu kama Uingereza.
Hii itarahisisha kupunguzo tatizo la usafiri... Maana unakuta Kampuni au mtu binafsi anauza gari Milioni kumi na anaita yote kwa mkupuo... hiyo inakua ngumu kidogo ukizingitatia hali ya uchumi ilivyopanda na gharama za maisha.
Ikiwezekana tu au kampuni iweze kufanya biashara hii, maanake watu wanotaka kununua magari ni wengi na mtu uwezo alio nao ni wa kulipia kidogo kidogo.
Mnaonaje hili wadau... au kama kuna mtu anafahamu kampuni za uuzaji wa maari zinazo uza kwa istallment watoe address zao tuweze fanya biashara.
Rwabukambara (MHAYA ORIGINO)
Hii itarahisisha kupunguzo tatizo la usafiri... Maana unakuta Kampuni au mtu binafsi anauza gari Milioni kumi na anaita yote kwa mkupuo... hiyo inakua ngumu kidogo ukizingitatia hali ya uchumi ilivyopanda na gharama za maisha.
Ikiwezekana tu au kampuni iweze kufanya biashara hii, maanake watu wanotaka kununua magari ni wengi na mtu uwezo alio nao ni wa kulipia kidogo kidogo.
Mnaonaje hili wadau... au kama kuna mtu anafahamu kampuni za uuzaji wa maari zinazo uza kwa istallment watoe address zao tuweze fanya biashara.
Rwabukambara (MHAYA ORIGINO)