Kuna mazungumzo yanaendelea kuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya BHP kutaka kuinunua kampuni ya uchimbaji madini ya Anglo America. Kwa Tanzania Anglo America inamiliki mgodi wa Geita Gold Mine maarufu kama GGM. Nchi nyingi zenye uwekezaji wa Anglo America ikiwemo Botswana South Africa zimetoa msimamo wao juu ya uwekezaji huo wa BHP.
Nasie watanzania tungependa kujua faida na athari iwapo BHP watainunua Anglo America. Ikumbukwe sekta ya madini ina mchango mkubwa katika upatikanaji wa fedha za kigeni ajira na biashara za wazawa na maamuzi yeyote yatakayo yanayoweza athiri sekta yetu ya madini ni vyema tukayatizama kwa jicho pevu.
Nasie watanzania tungependa kujua faida na athari iwapo BHP watainunua Anglo America. Ikumbukwe sekta ya madini ina mchango mkubwa katika upatikanaji wa fedha za kigeni ajira na biashara za wazawa na maamuzi yeyote yatakayo yanayoweza athiri sekta yetu ya madini ni vyema tukayatizama kwa jicho pevu.