Mauzo ya Anglo America kwa BHP msimamo wa serikali ni upi

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,266
10,298
Kuna mazungumzo yanaendelea kuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya BHP kutaka kuinunua kampuni ya uchimbaji madini ya Anglo America. Kwa Tanzania Anglo America inamiliki mgodi wa Geita Gold Mine maarufu kama GGM. Nchi nyingi zenye uwekezaji wa Anglo America ikiwemo Botswana South Africa zimetoa msimamo wao juu ya uwekezaji huo wa BHP.

Nasie watanzania tungependa kujua faida na athari iwapo BHP watainunua Anglo America. Ikumbukwe sekta ya madini ina mchango mkubwa katika upatikanaji wa fedha za kigeni ajira na biashara za wazawa na maamuzi yeyote yatakayo yanayoweza athiri sekta yetu ya madini ni vyema tukayatizama kwa jicho pevu.
 
Kuna mazungumzo yanaendelea kuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya BHP kutaka kuinunua kampuni ya uchimbaji madini ya Anglo America. Kwa Tanzania Anglo America inamiliki mgodi wa Geita Gold Mine maarufu kama GGM. Nchi nyingi zenye uwekezaji wa Anglo America ikiwemo Botswana South Africa zimetoa msimamo wao juu ya uwekezaji huo wa BHP.

Nasie watanzania tungependa kujua faida na athari iwapo BHP watainunua Anglo America. Ikumbukwe sekta ya madini ina mchango mkubwa katika upatikanaji wa fedha za kigeni ajira na biashara za wazawa na maamuzi yeyote yatakayo yanayoweza athiri sekta yetu ya madini ni vyema tukayatizama kwa jicho pevu.
Corporate mergers and acquisitions Tu za kawaida hizo , hamna jipya .
Ni kama TBL iliyonunuliwa na kampuni ya kimataifa ya utengenezaji wa vinywaji ,Abinbev
 
Kuna mazungumzo yanaendelea kuhusu kampuni ya uchimbaji madini ya BHP kutaka kuinunua kampuni ya uchimbaji madini ya Anglo America. Kwa Tanzania Anglo America inamiliki mgodi wa Geita Gold Mine maarufu kama GGM. Nchi nyingi zenye uwekezaji wa Anglo America ikiwemo Botswana South Africa zimetoa msimamo wao juu ya uwekezaji huo wa BHP.

Nasie watanzania tungependa kujua faida na athari iwapo BHP watainunua Anglo America. Ikumbukwe sekta ya madini ina mchango mkubwa katika upatikanaji wa fedha za kigeni ajira na biashara za wazawa na maamuzi yeyote yatakayo yanayoweza athiri sekta yetu ya madini ni vyema tukayatizama kwa jicho pevu.
Ingawa kila kampuni inayonunua kampuni nyingine inakuja na sera zake za kiuendeshaji na mifumo tofauti sometimes .
Wanaweza amua hata kufanya overhaul ,kuongeza au redundancies Kwa wafanyakazi , kuongeza au kupunguza vitengo , mishahara ,vitendea kazi ,kupanua au kupunguza miradi nk .
Always Ni siri na maamuzi binafsi ya executives board members na shareholders WA kampuni inayonunua kampuni nyingine ,
Hawawezi kukwambia wewe outsider
 
Corporate mergers and acquisitions Tu za kawaida hizo , hamna jipya .
Ni kama TBL iliyonunuliwa na kampuni ya kimataifa ya utengenezaji wa vinywaji ,Abinbev
Serikali ina hisa kwa 15% nivyema tukaangalia mustakabali wa interest za nchi kwenye hili
 
Ingawa kila kampuni inayonunua kampuni nyingine inakuja na sera zake za kiuendeshaji na mifumo tofauti sometimes .
Wanaweza amua hata kufanya overhaul ,kuongeza au redundancies Kwa wafanyakazi , kuongeza au kupunguza vitengo , mishahara ,vitendea kazi ,kupanua au kupunguza miradi nk .
Always Ni siri na maamuzi binafsi ya executives board members na shareholders WA kampuni inayonunua kampuni nyingine ,
Hawawezi kukwambia wewe outsider
Ni sawa lakini mbona wazee wa uchumi wanaangalia kwa umakini mwenendo wa majadiliano, Japan anasema iwapo Anglo na BHP wataungana basi wanaweza fanya monopoly ya biashara ya chuma kwani ndio watakuwa wauzaji wakubwa, hivyo wanatakuwa na uwezo wa kuamua juu ya supply ya chuma na bei yake.
 
Ni sawa lakini mbona wazee wa uchumi wanaangalia kwa umakini mwenendo wa majadiliano, Japan anasema iwapo Anglo na BHP wataungana basi wanaweza fanya monopoly ya biashara ya chuma kwani ndio watakuwa wauzaji wakubwa, hivyo wanatakuwa na uwezo wa kuamua juu ya supply ya chuma na bei yake.
Sio chuma tu , kama hujui , BHP ndio kampuni kubwa zaidi ya masuala ya uchimbaji madini dunia nzima , hao Barrick ,De beers nk ni cha mtoto kwa hao Australians BHP .
Hii kampuni ni ya muda mrefu na ilianzia Melbourne Australia , na kanuni yao ya kujitanua ni kufanya mergers and acquisitions na waliweza kuzimeza kampuni nyingi za uchimbaji madini hapo kwao Australia kabla ya kuanza kujitanua nchi nyingine duniani .
So hawa jamaa ni experts kwenye hili .
Na kwa sasa ndio kampuni tajiri zaidi duniani kwenye masuala ya mining .
Wana mtaji mkubwa sana na assets ,
Nilikuwa na angalia tweeter , bid yao ya kwanza imekataliwa , wanafanya bid nyingine soon tutaona kinachotokea
 
Ni sawa lakini mbona wazee wa uchumi wanaangalia kwa umakini mwenendo wa majadiliano, Japan anasema iwapo Anglo na BHP wataungana basi wanaweza fanya monopoly ya biashara ya chuma kwani ndio watakuwa wauzaji wakubwa, hivyo wanatakuwa na uwezo wa kuamua juu ya supply ya chuma na bei yake.
Monopoly Ndio philosophy Yao , kama Debeers walivyo monopolise soko la mining na biashara ya gemstones .
Hawa BHP wanataka wadominate metals
 
Shughuli pevu
Screenshot_20240513-173156.jpg
Screenshot_20240513-172915.jpg
 
Shughuli pevu naona mkate umelowekwa kwenye chai, tuone kama utalainika, hii offer ya 34b, uzuri wenzetu mazungumzo yanakuwa wazi, sio akina kaputi walijifungia wakaja na mkataba wa hovyo
 
Shughuli pevu naona mkate umelowekwa kwenye chai, tuone kama utalainika, hii offer ya 34b, uzuri wenzetu mazungumzo yanakuwa wazi, sio akina kaputi walijifungia wakaja na mkataba wa hovyo
Yah !
Kila kitu kiko wazi ,maana hizo ni public traded companies so uwazi ni muhimu kwenye suala la manunuzi kila kitu kinachofanyika kwa uwazi
 
Shughuli pevu naona mkate umelowekwa kwenye chai, tuone kama utalainika, hii offer ya 34b, uzuri wenzetu mazungumzo yanakuwa wazi, sio akina kaputi walijifungia wakaja na mkataba wa hovyo
Ni kama mnada unavyofanyika , wanakuwa kwenye masoko ya mitaji kule Marekani Newyork stock exchange na london ,wanafanya bidding ,au kutaja dau lao na shareholders wanaangalia kama wanakubaliana na dau lililotajwa na huyo mnunuzi au la .
Mpaka dau ambalo linakubalika lifikiwe
 
Ni kama mnada unavyofanyika , wanakuwa kwenye masoko ya mitaji kule Marekani Newyork stock exchange na london ,wanafanya bidding ,au kutaja dau lao na shareholders wanaangalia kama wanakubaliana na dau lililotajwa na huyo mnunuzi au la .
Mpaka dau ambalo linakubalika lifikiwe
Mkuu, sio suala la bidding tu, wakati wa marger ya accacia na new Barrick, Barrick waliwakataa minor shareholders na ndio ikabidi acccacia wajitoe dse na lse, akina yakhe ikabidi watupiwe share zao, tungekuwa makini akina yakhe wangeshirikishwa kwenye new barrick na sasa wangekuwa wanaupiga mwingi
 
kwanA barick na accasia Nani Yuko wapi katk nnchi hi na hao bhp walikuwepo wapi Muda wote hawajawai kuomba kisimba Cha uchimbaji
 
Mkuu unahisi Tanzania anaweza kubadili kitu hapo katika hiyo merging?
 
Kwanza Anglo America hamiliki mgodi wa GGM (Geita Gold Mine)

GGM inamilikiwa na AngloGold Ashanti.

AngloGold Ashanti iliundwa baada ya merger ya Anglo Gold na Ashanti Goldfields (hii ndo alikua anamiliki Anglo America)

Lkn baada ya hio merger Anglo America akauza hisa zake zote alizonazo kwenye AngloGold Ashanti.

Kwa hio Tanzania hana cha kusema sababu haiwahusu unless Anglo America awe anamiliki mgodi mwingine hapa tz kitu ambacho sidhan.
 
Back
Top Bottom