Inaitwaje kakaUdukuz ni mbinde boy. Kuna app fulani huko playstore, lakini na zenyewe zina mashart sana, hizo unaweza kusoma na kusikiliza kila kitu cha unayehitaji kumdukua. Lakini lazima ufanye settings kwa simu yake na kuleta taarifa kwenye mail yako, ila akikushtukia akakushtaki una "neno" la kujibu kisheria.
Inaitwaje kakaUdukuz ni mbinde boy. Kuna app fulani huko playstore, lakini na zenyewe zina mashart sana, hizo unaweza kusoma na kusikiliza kila kitu cha unayehitaji kumdukua. Lakini lazima ufanye settings kwa simu yake na kuleta taarifa kwenye mail yako, ila akikushtukia akakushtaki una "neno" la kujibu kisheria.
Imaitwaje hio app kakaInaitwaje kaka
Mkuu, vp ulipewa link au uliambiwa ipi ndo yenyewe.? Mana mm pia nmekutana nazo nyingi na cjui ipi ni sahihiHii njia bado inafanya kazi mpaka sasa?!
Halafu ni WhatsApp web ipi maana nimeongia Playstore nimezikuta kibao hata sielewi ipi ndo yenyewe
Boss em naomba link au ni ipi ya ku-download mana play store zipo nyingi na sijui ipi ni sahihiNimejatibu hii kitu jana. Inafanya kazi. Sema nimeamua kulog out