maumivu

maumivu

Hahaaa msichana wako she is very tricky aliijua kosa linaweza kua lake lakin kageuza kibao kuwa humwamini

na ukiongea nae tu atakuwa anakublame kuwa siku hizi huniamini!!!!!!!bla bla kibao.............

Ye unajua kakusevuje kwenye sim yake!!!!!!!!!!!!!!

sifahamu alafu huwa cigusi simu yake madhara yake nayajua
 
Mkuu the plain Truth; huyo mwanamke anakusaliti!

lakini pia anamsaliti one love .......

kwa hiyo amekudaaaaaanganya....
amewadanganyaaaaaaaa!
hahahaha mapenzi ni Ungese kabisa
 
nina malengo naye mazuri sana kwani yeye anahitimu chuo mwakani sasa nikawa nikaamua kumlipia fremu ili atakapo maliza awe na kazi ya kufanya

Huyo dada hajajua ni nini anataka!!!!!!!au ameshaona wee unampenda saana

so she take you for granted ndio maana hata sim imeita vile lakin kaanza kukwambia huniamin

as if wewe ndio mwenye kosa vile!!!!!!!!
 
Hahaaa msichana
wako she is very tricky aliijua kosa linaweza kua lake lakin kageuza
kibao kuwa humwamini

na ukiongea nae tu atakuwa anakublame kuwa siku hizi huniamini!!!!!!!bla
bla kibao.............

Ye unajua kakusevuje kwenye sim yake!!!!!!!!!!!!!!

Mkuu Heaven on Earth, wasi wasi wangu atakua hajasave jina la jamaa, ili simu ikiita akiwa na one love anamwambia "baby namba ngeni hua cpendi kupokea" then anaikacha..............

nataka kulewa -Diamond
 
Mkuu Heaven on Earth, wasi wasi wangu atakua hajasave jina la jamaa, ili simu ikiita akiwa na one love anamwambia "baby namba ngeni hua cpendi kupokea" then anaikacha..............

nataka kulewa -Diamond

Hahaaaaa I cant imagine hiyo kitu...........

naweza kujongea hayo maeneo tulewe wote.............maana jua lilivyo kali leo
 
Hahaaa msichana
wako she is very tricky aliijua kosa linaweza kua lake lakin kageuza
kibao kuwa humwamini

na ukiongea nae tu atakuwa anakublame kuwa siku hizi huniamini!!!!!!!bla
bla kibao.............

Ye unajua kakusevuje kwenye sim yake!!!!!!!!!!!!!!

Atakuwa amem save Number 2. lol
Mtoa mada ulishaona dalili ya kusalitiwa kabla ya tukio hili? Fuata ushauri wa lara 1 hapo juu na mkivuka salama harakisha mambo bwana,nani anataka uchumba ndugu siku hizi? 4yrs!
 
Last edited by a moderator:
Katika hili fanya jambo moja tu: shirikisha akili, mwili na roho yako utapata jibu sahihi! Pole sana, najua inauma!
 
^^
Mapenzi ya vyuo vikuu bado mnayategemea??
Be brave man..utaumia Mara mia upate aliyemaliza chuo kuliko aliyeko huko au anaenda huko.
WATU NA AKILI ZAO WALISHALIA WAKATULIA
^^

Teh teh teh, mi nacheka tu leo
 
Pole shukuru Mungu amekuanyesha kuwa unashare na one love, huyo one love anaweza kuwa buzi au anasubiri amuombe awe mkewe kwa hiyo yeye ana balane na wewe umechelewa kwa miaka ya siku hizi mchumba wa miaka mingi mmmmmhhhh mambo ni kuwahi.

Ila sasa inaonekana wewe ni namba mbili maana ameona aondoke kwa njia ya kuwa haumuamini ila kaenda kuongea na one love ili asikasirike na kakuacha wewe bila kujali unafikiria nini au kukupoza usiwaze hivyo.

ok kinachofata na wewe anza kuangalia mbele, ukitaka kuju yukoje na wewe basi acha kumpa pesa kama unampa, na mwambie kutokana na yeye kuondoka siku ile basi hautaki tena.

kama anakupenda kweli atakulilia sana na kuomba msamaha na kubadili tabia hiyo ya kijinga haraka sana utaona utofauti, ila angalie asibadilike kama unamsaidiaga hili na lile bado eka pozi ili akiona hakiji tena utaona reaction yake na utajua.

Ila kwa mie mtu uwe 2nd no no no.

hivi hiyo mchumba umeshamvalisha hata hiyo pete? anaivaa au ni uchumba wa kutambulishana?

Like like like!
..ikiwezekana piga kimya kabisa usianze kumuuliza,cjui y,baby,ckuelewi!! Piga kimya usimtafute(inauma) ila ww mwanaume jikaze!
Then utaona reaction yake ndo utajua km una umhim kwake au lah!
..ktk hali ya kawaida hawezi aka walk away simply lyk that km ww kwake kweli ni mtu mhimu!!haiwezekani!
...kosa lake ila kakugeuzia kibao!!chezea wanachuo ww!ndo maana Himidini hawataki
cc:himidini
 
Inawezekana huyo mwingine 'ONE LOVE' ana miaka sita ...nae anadanganywa kama wewe ila hajashtuka bado.
 
inaweza kuwa one love ni mama yake au dada yake. Hahahaha. Ila subir kdogo...umesema anasoma, wewe unafanya biashara na frem umemuwekea bado ana "one love"!! JICHUNGULIE
 
nina malengo naye mazuri sana kwani yeye anahitimu chuo mwakani sasa nikawa nikaamua kumlipia fremu ili atakapo maliza awe na kazi ya kufanya

Masikini ....
Pooole!

Ni dalili kuwa kuna mwenzako.
 
Back
Top Bottom