Yegoo
JF-Expert Member
- Nov 14, 2012
- 1,424
- 503
ndugu wanajf jana yamenipata kile kilio cha wengi Usaliti, nina mchumba ambaye nimedumu naye kwa miaka 4 sasa,jana mida kama saa 8 mchana ivi nilimpigia simu aje mahala ili tuongee kidogo,
Kweli akafika ile tumekaa mara simu yake ikaita jina One Love hakuipokea ile namba ikapiga tena!!nikamuuliza vipi mbona hupokei simu yako? hakunijibu akanyanyuka na kuondoka huku ananiambia NAONA HUNIAMINI!!
Niko njia panda nahici maumivu ya moyo
Kweli akafika ile tumekaa mara simu yake ikaita jina One Love hakuipokea ile namba ikapiga tena!!nikamuuliza vipi mbona hupokei simu yako? hakunijibu akanyanyuka na kuondoka huku ananiambia NAONA HUNIAMINI!!
Niko njia panda nahici maumivu ya moyo