dah, hii ni ngumu 'kumesa' for an average man.... halafu inategemea na aina ya 'suluba' aliyokuwa akipatiwa pia.... kama alikuwa analiwa mtandao fulani, uvumilivu utahitaji nguvu ya ziada
Khaaaa! lol topic yenyewe ya zamani sidhani hata mtoa mada bado ni memba humu!
dah! kumbe huu uzi umeshakua old school ......... nimeukuta juu nikajua bado bikra!!kha!
Kama hukumkuta akiwa bikra, basi juwa alishagegedwa na mwingine, hivyo basi kutumiwa picha au sms haibadirishi kitu. Na kwa miaka hii ya leo kumpata bikra ni nadra sana. Kwa we mwenyewe hujawahi kugegeda kabla ya kukutana na huyo? Kimsingi huyo anayekutumia picha inamuuma wewe kuwa na huyo mdada.Nimeona niliweke hapa jf kwa watu wenye akili timamu na wanaojua kushauri watu kitaalam. Nimepata binti lakini nimetumiwa picha za x wake akiwa anamkandamiza. Hii kitu imeniumiza sana na mda si mrefu nimepokea msg ikisema nimemchoka so kaa nae tu. Nisaidieni ivi nifanyaje na nafsi ilikuwa imeshapenda na maumivu haya nitayatoaje?
picha ziko wapi kaka angu zilete kwa jamvi tuzione tukushauri!