Hahaha me naona hadi siku nidondoke kwa presha ndo ntaacha. Sasa wewe ni mtata, muache mwenzio ashike yako, yake usishike coz umeamua teh teh. Nipe umbea kidogo ulikuta breaking news gani humo
Hahahaaaaa!! Akuuu akitaka ashike at his own risk ila ndio marufuku kunihoji, we acha tu hiyo breaking news alafu nikajikaushaaa kama sio mimi nagugumia tu.
Mmmmh!! Kwakweli sijapitia maziiiito ya kukatisha tamaa, ila naona tu watu wanavyoteseka na mapenzi naishia tu kuwahurumia, pole mwaya utaja tu mpata aliye wako.
Mmmmh!! Kwakweli sijapitia maziiiito ya kukatisha tamaa, ila naona tu watu wanavyoteseka na mapenzi naishia tu kuwahurumia, pole mwaya utaja tu mpata aliye wako.
nawakumbusha mabinti usije olewa na mzee ukaacha kijana mwenzako kisa eti watu wazima wametulia??!!! olewa na mtu roho yako imeridhia kutulia kutotulia ni tabia haiangalii umri yamewakuta wengi