Maumivu makali

me bado kidogo sana babu
Na ww kwa umri huo umeshamaliza vibarua vyako vyote au unamsumbua bb dc

Mie ni mstaafu na kibogoyo bwana. Siwezi tena kufakamia nyama choma hata kama nazitamani.


Hahaa kweli aisee ila mimi ya mjukuu wako nachokonoa ili nisije nikauvaa mkenge

Sawa tu ila endelea kuandaa heading ya thread kwani probability ya kukutana na ujumbe tata ni kubwa tu
 
Mmh shem umepitia makubwa khaa, no wonder una negativities nyingi na mapenzi. Stay away from mahusiano, jiponeshe maumivu yako kwanza
 
Pole ibra87,

Dunia haiko fair na kila uande unahusika kwenye huu upuuzi!
 
Last edited by a moderator:
Heeeeeee..........

Pole ibra87
 
Last edited by a moderator:
Mmh shem umepitia makubwa khaa, no wonder una negativities nyingi na mapenzi. Stay away from mahusiano, jiponeshe maumivu yako kwanza
Ndiyo maana tunawambia kuwa ukiona nyani Mzee basi ujue keshakwepa mishale kibao.

Kwa wale wanaoweza, ni muhimu kupenda kwa akili badala ya moyo!
 
Aah babu kikombe hiki ni kichungu khaa

Kwa vile ni lazima kukinywea basi tujifunze kunywa kwa machale.

Hata hivyo zama zenu zimekuwa na changamoto nyingi. Sie kuwasiliana na mpenzi ilikuwa kwa barua ambayo inajibiwa siyo chini ya mwezi.
 

Ungeupigia simu mchepuko kwa uhakika zaidi,
 
Kwa vile ni lazima kukinywea basi tujifunze kunywa kwa machale.

Hata hivyo zama zenu zimekuwa na changamoto nyingi. Sie kuwasiliana na mpenzi ilikuwa kwa barua ambayo inajibiwa siyo chini ya mwezi.
Mmh babu teknolojia imetusaidia lakini pia madhara yake kwenye uhusiano Mmh. Bora enzi zenu kwa kweli
 
daah....condom huwa inanifanya nisifurahie tendo kabisa . haina tofaut na punyeto
 
Mmh shem umepitia makubwa khaa, no wonder una negativities nyingi na mapenzi. Stay away from mahusiano, jiponeshe maumivu yako kwanza

yeah shem kuna kipindi nilitamani kwenda hata kujitumbukiza baharini.. Lakini Mungu ni mwema na Ananipenda bado.. Japo kuwa nikisemaga mnaona kama nawachukia lakini sina jinsi..
 
Mmh babu teknolojia imetusaidia lakini pia madhara yake kwenye uhusiano Mmh. Bora enzi zenu kwa kweli

Kiranga cha kushika simu kiliniisha enzi za usichana wangu sithubutu ng'ooooo, na ni zaidi ya marufuku kushika simu yangu, utachokikuta marufuku kunihoji, jihoji na ujijibu mwenyewe.
 
yeah shem kuna kipindi nilitamani kwenda hata kujitumbukiza baharini.. Lakini Mungu ni mwema na Ananipenda bado.. Japo kuwa nikisemaga mnaona kama nawachukia lakini sina jinsi..
I can feel you. Shem tuseme tu, na Sisi tunawasema pia, maana pande zote tunaumizana. Pole kwa yote na Mshukuru Mungu kwa yote pia
 
Kiranga cha kushika simu kiliniisha enzi za usichana wangu sithubutu ng'ooooo, na ni zaidi ya marufuku kushika simu yangu, utachokikuta marufuku kunihoji, jihoji na ujijibu mwenyewe.
Hahaha me naona hadi siku nidondoke kwa presha ndo ntaacha. Sasa wewe ni mtata, muache mwenzio ashike yako, yake usishike coz umeamua teh teh. Nipe umbea kidogo ulikuta breaking news gani humo
 

Mweeeh!! Ibra wewe kila ukisimulia ni majanga tu, pole mwaya, mahusiano ni kizungumkuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…