Maumivu makali

Maumivu makali

Tina Buu

Member
Joined
Sep 30, 2015
Posts
20
Reaction score
5
Mimi ni dada wa miaka 38 nina watoto 3 kwenye ndoa nina miaka 13, mume wangu ana umri miaka 52.

Mwaka huu mwanzoni nilifuma sms kwenye simu ya mume wangu akijibu sms ya mchepuko.

Ni hivi mchepuko alimwandikia kwamba ana mimba yake, yeye akajibu kwamba sio mimba yake siku ambayo walikutana yeye akumaliza (sijui alikuwa na mana gani). Hiki kitu kimeniumiza sana moyo.

Nilikuwa nina uhakika kwamba anachepuka lakini nikajipa moyo anatumia condom. Baada ya kufuma hiyo sms ndio nikaamini kwamba ana kwenda bila kinga. Hiki kitu kinaniumiza sana moyo sijui nifanye nini ili nisahau, ukizingatia magojwa yalivyo mengi! Inatisha kwelikweli.

Naomba ushauri nitumia njia gani ili nikifute kwenye mawazo yangu.

Mwathirika.
 
Huwezi kuacha kuukia mpaka uvunje ukimya...na mwende mkapime.

Then mkubaliane way foward

La sivyo kila jamaa akitaka papuchi utakumbuka msg
 
Pole sana mumeo nae..... Huo umri si wa kutulia na familia jamani??
 
nauliza tu nani alikuruhusu kushika simu ya mumeo....?
 
pole ila mwenzio amalizagi .... cha kufanya ni kuzungumza naye kwa upole na utaratibu .. usimfokeee na mweleze kiasi gani inakuumiza
 
Pole sana mumeo nae..... Huo umri si wa kutulia na familia jamani??
shaga weee wakifika 50+ wanakuwa kama wamebalehe upya kwa hiyo ndiyo wanakula dogo dogo .. mbaya zaidi ukute mke kashapata monopose .. waombee tu wasipate maradhi ukaja kuuguza
 
Laiti simu zisingekuepo haya yote yasingetupata pengine...Pole, endelea kumpenda na achana na habari ya kumuacha achepuke kisa tu atatumia kondomu!!

Kwahio akitumia kondomu unatulia, sio? hapo ndio tatizo lako lilipo, maana inawezekana humhudumii kisa hata akitoka nje atatumia kondomu halafu atarudi kwako utakula pipi bila ganda!!
 
nauliza tu nani alikuruhusu kushika simu ya mumeo....?

Swali zuri hili.

Tangu nilipogundua ni simu ndio ilikuwa mchonganishi mkubwa katika mahusiano yangu. sihitaji urafiki na simu isiyonihusu kamwe
 
Pole sana mumy funguka uwe huru ila jitahidi kucontrol hasira zako......japokuwa wanawake huwa tunajifariji kwamba hakuna mwanaume asiyechepuka ndo maana wewe umeona ni sawa tu ila atumie kinga,kiukweli hii si Sawa na tunapoomba Mungu huwa anaangalia hata nia ya moyo,muombee kabisa hilo pepo la uchepukaji limtoke.

Fanya utafiti kujua ni kwanini anachepuka,kama kuna mahali ambapo unasababisha rekebisha na ufurahie ndoa yako,nakutakia kila la heri.
 
Swali zuri hili.

Tangu nilipogundua ni simu ndio ilikuwa mchonganishi mkubwa katika mahusiano yangu. sihitaji urafiki na simu isiyonihusu kamwe

Kwa hiyo mpendwa usiposhika simu ndo inabadili the fact kuwa anacheat? Mnaonyeshana tupu zenu sembuse simu jamani aaah
 
Swali zuri hili.

Tangu nilipogundua ni simu ndio ilikuwa mchonganishi mkubwa katika mahusiano yangu. sihitaji urafiki na simu isiyonihusu kamwe
bora ufanye hivyo....
 
Pole sana mumeo nae..... Huo umri si wa kutulia na familia jamani??

Kumbe na wewe bado sana.....

shaga weee wakifika 50+ wanakuwa kama wamebalehe upya kwa hiyo ndiyo wanakula dogo dogo .. mbaya zaidi ukute mke kashapata monopose .. waombee tu wasipate maradhi ukaja kuuguza

Bora umemjibu... Yaani mtu atulie wakati ana uhakika wa kusettle bills zote za mama na watoto? Hiyo nyingine itaenda wapi?

Halafu kuna chemicals za kiuchokozi huwa zinatemwa mwilini at that age....

Mjitahidi kuwasamehe wenzenu ili mstaafu pamoja!
 
nauliza tu nani alikuruhusu kushika simu ya mumeo....?

Nadhani sasa atakuelewa....Bata ukimchonoa sana utakufa na jakamoyo....

Ila mimi ningeshauri huyu mama ajitahidi kuelewa kuwa game inachezwa namna hiyo. Kama anataka kuendelea basi aongee na Muzee ili wakubaliane kucheza salama.

Siyo rahisi kustaafu kabla hujakamilisha vibarua vyako vyote....Kama hawaamini watuulize!

Babu DC!
 
Back
Top Bottom