Maumivu makali ya mgongo (back pain) na tiba yake

Bingwa mwingine wa matizo ya pingili za uti wa mgongo yupo Tanga mjini eneo laitwa kibiboni.

Sharti uwe umepiga x-ray na tatizo kuthibitishwa.
Nielekeze mie niende au nipe Contact za huyo Bingwa niongee nae km yupo!
Fanya hivyo utusaidie ktk hilo
 
Habarini za muda huu wakuu, binafsi mi mzima saana, ni matumaini yangu pia nyie wenzangu ni wazima.
Kilichofanya niandike uzi huu leo.

Ni kuhusu afya ya shemeji/wifi yenu anaesumbuliwa na tatizo la kuumwa mgongo, kisogo na misuli ya shingo kukaza. Tatizo hili humtokea pindi anapokuwa anafanya kazi za kutumia akili kubwa sanasana akiwa anasoma na Limemuanza tokea december ya 2015. Tumeenda hospitali zaidi ya moja kuchukua vipimo.. X-ray. Sindano kachomwa lakini hadi leo hali inajirudia.

Anateseka kweli kweli na maumivu anayoyapata yananikosesha raha maana mnajua kuuguza mke ni kazi. Hivyo kwa mtu mwenye uelewa na huu ugonjwa naomba msaada.. Pia kwa mwenye kujua tiba naomba msaada wako na. Ushauri wako.

Nitafurahi saaa kama nitakutana na ushuhuda humuhumu.
 
Habarini za muda huu wakuu, binafsi mi mzima saana.... ni matumaini yangu pia nyie wenzangu ni wazima.
Kilichofanya niandike uzi huu leo

Ni kuhusu afya ya shemeji/wifi yenu anaesumbuliwa na tatizo la kuumwa mgongo, kisogo na misuli ya shingo kukaza. Tatizo hili humtokea pindi anapokuwa anafanya kazi za kutumia akili kubwa sanasana akiwa anasoma na Limemuanza tokea december ya 2015. Tumeenda hospitali zaidi ya moja kuchukua vipimo.. X-ray.. Sindano kachomwa lakini hadi leo hali inajirudia.

Anateseka kweli kweli na maumivu anayoyapata yananikosesha raha maana mnajua kuuguza mke ni kazi. Hivyo kwa mtu mwenye uelewa na huu ugonjwa naomba msaada.. Pia kwa mwenye kujua tiba naomba msaada wako na. Ushauri wako.
... Nitafurahi saaa kama nitakutana na ushuhuda humuhumu.
Pole sana kaka!

Kama vipimo hivyo vilionesha hakuna tatizo,na maumivu bado yanaendelea,nakushauri usikate tamaa,endelea kufuatilia kwenye hospitali hizi kubwakubwa,waone wataalamu wa neuro/nerve au wataalamu wa mifupa watakupatia ufumbuzi wa tatizo la mwenza wako.

Mi wangu alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya mgongo kila siku haachi kulalamika, na akifanya kazi ngumu ndo basi kabisaa,tulitembea kwenye hizi hospitali za kawaida hatupati ufumbuzi,X-ray tulipiga lakini hamna tatizo lolote,tukazidi kumwomba Mungu! Baadae tukaenda hospitali moja kubwa tu hapa Tanzania, tukafanya vipimo viwili X-ray na MRI ndipo tatizo lilipoonekana,lakini halikuwa kubwa sana, Daktari akatuandikia dawa na asisitizia juu kufanya mazoezi.

Baada ya pale tukaenda kwa Physiotherapist, akamfanyia mazoezi ya viungo nami pia akanielekeza namna ya kumfanyia,basi nikawa namfanyia mazoezi mimi mwenyewe nyumbani! Sasa hivi yapata miezi miwili tangu tuanze hiyo tiba hajalalamika tena maumivu ya mgongo!

Kitu cha msingi kaka,itabidi uangali wale madaktari bingwa kwenye hizi hospitali kubwa,lakini pia usisahau kumuomba Mungu kwani Yeye Ndiye Muweza wa yote!
 
Pole sana kaka!

Kama vipimo hivyo vilionesha hakuna tatizo, na maumivu bado yanaendelea,nakushauri usikate tamaa, endelea kufuatilia kwenye hospitali hizi kubwakubwa, waone wataalamu wa neuro/nerve au wataalamu wa mifupa watakupatia ufumbuzi wa tatizo la mwenza wako. Mi wangu alikuwa anasumbuliwa na maumivu ya mgongo kila siku haachi kulalamika, na akifanya kazi ngumu ndo basi kabisaa, tulitembea kwenye hizi hospitali za kawaida hatupati ufumbuzi, X-ray tulipiga lakini hamna tatizo lolote, tukazidi kumwomba Mungu! Baadae tukaenda hospitali moja kubwa tu hapa Tanzania, tukafanya vipimo viwili X-ray na MRI ndipo tatizo lilipoonekana, lakini halikuwa kubwa sana, Daktari akatuandikia dawa na asisitizia juu kufanya mazoezi.

Baada ya pale tukaenda kwa Physiotherapist, akamfanyia mazoezi ya viungo nami pia akanielekeza namna ya kumfanyia,basi nikawa namfanyia mazoezi mimi mwenyewe nyumbani! Sasa hivi yapata miezi miwili tangu tuanze hiyo tiba hajalalamika tena maumivu ya mgongo!

Kitu cha msingi kaka, itabidi uangali wale madaktari bingwa kwenye hizi hospitali kubwa,lakini pia usisahau kumuomba Mungu kwani Yeye Ndiye Muweza wa yote!

Thanks saana mkuu kwa ushauri. Ingekuwa vizuri kama ungenitajia hiyo hospitali ili niende
 
Wadau,

Naombeni ushauri kusu tatizo langu.

Upande wa kulia mgongoni kuna maumivu ambayo sielewi sababu ni nini sometimes huwa yanakuwa makali nikiwa nime lala.

Au nimekaa na uwa nayasikia upande mmoja tu.Napenda kujua kama nini dalili ya ugonjwa au ni kitu gani?
 
nenda hospital dr atajua nini afanye kulijua tatizo lako
ukisema mgongo kitaalamu ni pingiri kuanzia shingoni hadi kiunoni
na mgongo unagawanywa sehemu kuu tatu
1cervical spine
2 thoracic spine
3.lumbar spine
so dactor ataangalia wapi achuchunguze kujua tatizo lako
vipimo vya kufanya kama ni mgongo
1.xray
2. ct scan
3.mri
hivi vipimo vitakusaidia kujua tatizo kama ni mgongo
 
nenda hospital dr atajua nini afanye kulijua tatizo lako
ukisema mgongo kitaalamu ni pingiri kuanzia shingoni hadi kiunoni
na mgongo unagawanywa sehemu kuu tatu
1cervical spine
2 thoracic spine
3.lumbar spine
so dactor ataangalia wapi achuchunguze kujua tatizo lako
vipimo vya kufanya kama ni mgongo
1.xray
2. ct scan
3.mri
hivi vipimo vitakusaidia kujua tatizo kama ni mgongo
Sawa mkuu
 
X-ray, CT-scan, MRI na ukapime figo zako. Pamoja na hayo, unamazoea ya kufanya mazoezi? Kama hapana, tembea, kimbia, endesha baiskeli na ufanye mazoezi ya viongo hasa " muscles za tumbo na mgongo. All the best!
 
Mimi niliwahi kupata shida hiyo nimepata nafuu kwa kuwa nilijichunguza na nikagundua yafuatayo.

1 ) Muda mwingi usk nilikuwa natumia kulala chali na kuchezea siku hivyo Mikono inasumbua mabega yaliyoegeshwa kweny godoro.
2) Kubeba begi mgongoni kwa kutumia kupachika kwny bega moja la mkono wa kulia.
3) Mazoezi ya ku slide kwa roler kuimarisha misuli ya tumbo mara kwa mara.
4) kuendesha gari muda mrefu bila ya kuegesha mgongo kwny kiti as napenda sana kwnda speed sana hivyo nakuwa attention muda mrefu.

Nilipojitathmin na kubadili au kupunguza mambo hayo nime recover bila ya kwenda hospital
 
Back
Top Bottom