bwanafundi
Member
- Jan 13, 2011
- 17
- 1
Jamani naugua kiuno,kiuno changu kinauma sana,haja kubwa ni kavu mno,kuna wakati hata miguu na makalio yanashika ganzi.na siku ninayofanikiwa kupata haja kubwa korodani zangu huwa zinauma baada ya kwenda haja kubwa.maelezo yangu ndiyo hayo.naomba nielekezwe dawa na daktari anaejua kutibia gonjwa la kiuno.