toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Ni mwezi wa pili sasa nasumbuliwa na matatizo ya kiuno kila nikisimama au nikikaa muda mrefu
Nikikaa chini kuja kunyanyuka napata maumivu makali sana kuna wakati kiuno kilikamata hadi nasimama kwa kutumia vitu
Kutembea natembea vizuri ila nikijaribu kuimana kuinuka kuna sehemu ya kushoto inauma balaa
Mwanzo nilihisi ni U.T.I nikameza dozi za kutosha za u.t.i bila kupata nafuu
Niliamua kwenda hosptali nikapimwa damu na magonjwa ya zinaa yote hadi ukimwi, malaria nk.....
Matokeo ya vipimo ilionekana sina STD's wala sina malaria wala homa walikuta nina u.t.i ila kidogo sana
Nikapewa dawa nikameza, nikamaliza nikarudi kuchukua nyingine lakini wapi japo nilipata kaunafuu but kiuno bado kinanisumbua sana
Nishaurini wakuu jee nitumie tiba au dawa gani nipone??
Nikikaa chini kuja kunyanyuka napata maumivu makali sana kuna wakati kiuno kilikamata hadi nasimama kwa kutumia vitu
Kutembea natembea vizuri ila nikijaribu kuimana kuinuka kuna sehemu ya kushoto inauma balaa
Mwanzo nilihisi ni U.T.I nikameza dozi za kutosha za u.t.i bila kupata nafuu
Niliamua kwenda hosptali nikapimwa damu na magonjwa ya zinaa yote hadi ukimwi, malaria nk.....
Matokeo ya vipimo ilionekana sina STD's wala sina malaria wala homa walikuta nina u.t.i ila kidogo sana
Nikapewa dawa nikameza, nikamaliza nikarudi kuchukua nyingine lakini wapi japo nilipata kaunafuu but kiuno bado kinanisumbua sana
Nishaurini wakuu jee nitumie tiba au dawa gani nipone??